MWANZA: Hotel ya Tai Five yapigwa mnada

MWANZA: Hotel ya Tai Five yapigwa mnada

Inavyoonekana biashara nyingi zilizotegemea serikali kama Mteja mkuu zitaendelea kufungwa kama waendeshaji wake hawatajiri idara mpya ya masoko itakaotafuta wateja wa kawaida,

Sasa ni zamu yetu wananchi wa kawaida kulala kwenye hoteli za nyota tano kwa 20,000/=badala ya 200,000/=

Na kufanya vikao vyetu vya harusi kwenye kumbi Nzuri kwa gharama tunazozimudu.
Nchi hii ni yetu sote.
Jpm shikilia hapohapo.
Atakapo kugusa kwenye ulaji wako ndipo utakamjua vzr, nilikuwa na tabia kama yako lkn alipogusa ulaji wangu niijua maumivu yake na kamwe sitashangilia mtu kuharibiwa ulaji wake.
 
Hotel ya rafiki yake Kikwete kwanini asimsadie mwenzie?...................

Waasisi Wa wizi Wa kura 2010....
Maelezo yako yanaelekea kukinzana na cyber crime law,
 

Attachments

  • downloadfile-2.jpeg
    downloadfile-2.jpeg
    82.3 KB · Views: 53
Unajua Mkuu wangu hawa watu wanaolenga kutegemea mshahara maisha yao yote watashangilia sana kuona wenzao biashara zao zinaanguka au vitega uchumi vyao vinapigwa mnada..ila kwa mfanyabishara/mjasiriamali hawezi shangilia kitu kama hicho kamwe..

Atakapo kugusa kwenye ulaji wako ndipo utakamjua vzr, nilikuwa na tabia kama yako lkn alipogusa ulaji wangu niijua maumivu yake na kamwe sitashangilia mtu kuharibiwa ulaji wake.
 
Kumbe unamfahamu mmliki wa tai five mkuu Tarimo??...ila Jamaa yule bwana daaah Basi tu ngoja ninyamaze.
Namfahamu vizuri sana, Martha nae kachangia jamaa kufikia hapa akipofikia, Mungu amsaidie tu
Inateterekaje, yaani huyo mmiliki kutetereka ndio sekta binafsi imetetereka ?

Hotel inanunuliwa na mtu mwingine na inaendelea kuajiri watu vile vile.

Au unafikiri mtu anannunua afugie mbuzi.
 
hatari,wafanyabiashara wa kati wanakwisha kabisa,hawa ndio hu link kati ya masikini na wenye ukwasi,sasa masikini hawana daraja la kuwavusha kwenda kwenye pesa
 
Itafika mahali watu wataanza kujiuliza nikinunua na mimi nini itakuwa hatima yangu kwa hali hii ya uchumi tuliyonayo?

fanya apartments tutakuja kupanga.

mambo ya hotel hapo mwanza waachie tilapia.
 
Inavyoonekana biashara nyingi zilizotegemea serikali kama Mteja mkuu zitaendelea kufungwa kama waendeshaji wake hawatajiri idara mpya ya masoko itakaotafuta wateja wa kawaida,

Sasa ni zamu yetu wananchi wa kawaida kulala kwenye hoteli za nyota tano kwa 20,000/=badala ya 200,000/=

Na kufanya vikao vyetu vya harusi kwenye kumbi Nzuri kwa gharama tunazozimudu.
Nchi hii ni yetu sote.
Jpm shikilia hapohapo.
Huwezi kumfanya awe tajiri kwa kumfanya Tahiti awe maskini
 
na bado trump mtoa misaada hajaingia ikulu..

ameshasema misaada hakuna...kitu usaid wanasepa.. hadi arv mtanunua wenyewe...

hapo magufuli atabana matumizi mpaka basiiiiiiii...

hiii trellla ngoja trump azame mjengon january
Kwani Obama alilikuwa anamlisha mkewako?
 
Hata kama nchi ingeongozwa na nani deni hilo lilikuwa si la kulipika kwa wepesi, lilikuwa kubwa mno tangu mwanzo wake!
 
Hali imekuwa mbaya sana kwenye sekta ya Hotel, ngoja mwezi ujao nikamtembelee jamaa yangu mwenye Monarch Hotel nione anaendeleaje. Serikali must do something to stop this fall
 
Bado watu wakiambiwa hali ya uchumi ni mbaya hawaelewi hotel nyingi sana kwa sasa wanapunguza wafanyakazi na nyingine kufungwa kabisa.
 
Kweli mkopo ni mzuri na ukijua kuutumia utatajirika. Ila biashara yako ikienda kombo utauchukuia mkopo. Hapo kesho mida ya saa 4 asubuhi kutakuwepo na mnada utakaohusisha uuzwaji wa Tai Five hotel iliyopo karibu na kona ya Bwiru Jijini Mwanza. Sijui huyu ndugu naye anaisoma namba maana siku hizi mikutano na semina za serikali hazifanyikii tena mahotelini; kawhiyo hali ya kibiashara hasa mahoteli makubwa ni mbaya.

Kuna mstari wa Biblia unasema anayecheka Leo kesho atalia. Sioni Haja ya kucheka mtu aliyefirisika hata Kama angekuwa mpinzani.
 
Kuna watu wanashabikia wakifikiri ndio kuimarika kwa uchumi lakini ukweli hizi ni dalili mbaya sana kwa uchumi.

Moja kuna ajira za watu zitakosekana kwa sababu atakayenunua atapenda kuweka utawala mpya au hata kubadilisha matumizi.

Suppliers waliokua wanatoa huduma mbali mbali watapoteza kazi (mboga mboga, laundry and cleaning products etc)

Tuombeane
 
hahahaaaaaaaa afanyekanisaa watamsamehee
 
Back
Top Bottom