divide and rule
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 266
- 106
Yupo moshi kajenga kiwanda cha maji safi ya kunywaPole sana brother Tarimo, ndio maisha, hope utakuja kusimama tena
Yupo moshi kajenga kiwanda cha maji safi ya kunywaPole sana brother Tarimo, ndio maisha, hope utakuja kusimama tena
Hongera zakeYupo moshi kajenga kiwanda cha maji safi ya kunywa
Na Mchome jr...Kambi yenu haijakamilika bado chongchung na Jason....
Mkuu tukutane Annex Hotel yenye hadhi ya nyota saba karibu na stadium nikupe tender...Hii ni Hotel Mwanza... Lodge Arusha na Dar
Hiyo ni stori kua anaisoma namba ndio mmekariri,huyu jamaa anasumbuana na crdb cnc 2011 kwa kushindwa kurudisha rejesho,kuuzwa kwake ni deni la mda mrefuKweli mkopo ni mzuri na ukijua kuutumia utatajirika. Ila biashara yako ikienda kombo utauchukuia mkopo.
Hapo kesho mida ya saa 4 asubuhi kutakuwepo na mnada utakaohusisha uuzwaji wa Tai Five hotel iliyopo karibu na kona ya Bwiru Jijini Mwanza.
Sijui huyu ndugu naye anaisoma namba maana siku hizi mikutano na semina za serikali hazifanyikii tena mahotelini; kwahiyo hali ya kibiashara hasa mahoteli makubwa ni mbaya.
View attachment 436809
Sasa wewe kinachokufurahisha ni ninina bado trump mtoa misaada hajaingia ikulu..
ameshasema misaada hakuna...kitu usaid wanasepa.. hadi arv mtanunua wenyewe...
hapo magufuli atabana matumizi mpaka basiiiiiiii...
hiii trellla ngoja trump azame mjengon january
Sidhani kwa wale walioendelea huwa wana tabia hizi tulizonazo Waafrika. Mtu unafurahiaje janga, kwa mfanoHulka ya binadamu wengi ni kufurahia anguko la wengine
Anguko la mpinzan linafurahisha.Hulka ya binadamu wengi ni kufurahia anguko la wengine
Yako?????Tai five maama!
Africans' are cursedMiafrika mijinga sana. Inafurahia anguko la wengine wakati watakaoteseka ni hao hao ndugu zao maskini.
Wafanyakazi watapoteza kazi. Ile hata trickle down ya uchumi ambayo inamfikia hata wa chini hamuijui.
Tajiri mmoja akitikisika. Mamia ya maskini wanaumia.
Tajiri atatafuta tu njia nyingine za kuishi na kupata fursa zingine. Je hao maskini ndugu zetu?
Tayar mshana alimalizaMiafrika mijinga sana. Inafurahia anguko la wengine wakati watakaoteseka ni hao hao ndugu zao maskini.
Wafanyakazi watapoteza kazi. Ile hata trickle down ya uchumi ambayo inamfikia hata wa chini hamuijui.
Tajiri mmoja akitikisika. Mamia ya maskini wanaumia.
Tajiri atatafuta tu njia nyingine za kuishi na kupata fursa zingine. Je hao maskini ndugu zetu?
Moja ya Watu wenye fikra KubwaInavyoonekana biashara nyingi zilizotegemea serikali kama Mteja mkuu zitaendelea kufungwa kama waendeshaji wake hawatajiri idara mpya ya masoko itakaotafuta wateja wa kawaida,
Sasa ni zamu yetu wananchi wa kawaida kulala kwenye hoteli za nyota tano kwa 20,000/=badala ya 200,000/=
Na kufanya vikao vyetu vya harusi kwenye kumbi Nzuri kwa gharama tunazozimudu.
Nchi hii ni yetu sote.
Jpm shikilia hapohapo.
Juzi nilkuta mpaka nguo wanaanika kwenye madirisha kwa sasa! Dent ni dent aisiiHostel kama Landmark!
Huo ndio ukweli wasipobadili fikra watazifunga zote.Moja ya Watu wenye fikra Kubwa