MWANZA: Hotel ya Tai Five yapigwa mnada

MWANZA: Hotel ya Tai Five yapigwa mnada

Tat
Kweli mkopo ni mzuri na ukijua kuutumia utatajirika. Ila biashara yako ikienda kombo utauchukuia mkopo.

Hapo kesho mida ya saa 4 asubuhi kutakuwepo na mnada utakaohusisha uuzwaji wa Tai Five hotel iliyopo karibu na kona ya Bwiru Jijini Mwanza.

Sijui huyu ndugu naye anaisoma namba maana siku hizi mikutano na semina za serikali hazifanyikii tena mahotelini; kwahiyo hali ya kibiashara hasa mahoteli makubwa ni mbaya.

View attachment 436809


Tatizo hapa wala si wateja bali ni kugharamia mali ya muda mrefu (long-term assets) kwa mtaji wa muda mfupi (short-term borrowings i.e less than five years). Asset kama hii inatakiwa igharamiwe na Tanzania Investment Bank kwa mkopo usiopungua miaka 20. Unapochukuwa mkopo wa miezi 36 au 60 kugharamia mali ya muda mrefu wa kama miaka 50 lazima mapato ya hiyo asset itashindwa kulipa huo mkopo
 
Epuka Udanganyifu:-
Mkopo wa Tai Five dhidi ya CRDB ni Milioni Mia Nane na Kumi ( Tsh 810,000,000 ) na tayari imelipwa Bilioni Moja na Milioni Mia Nne ( Tsh 1,400,000,000).
Mkopo huo ulichukuliwa kwa ajili ya Ujenzi wa Jengo la Biashara MWADECO COMPLEX, Jengo ambalo Halmashauri ya Jiji la Mwanza imetaifisha bila sababu maalum.
Hivyo basi, Tai Five inawataka CRDB kuacha kupotosha Jamii na Kumdhalilisha Mteja wake bila sababu, kama kuna shida/tatizo upande wao ni bora kumuita Tai Five na kukaa nae Mezani awape mtiririko wa Malipo yake.
 

Attachments

  • DSC_0087.JPG
    DSC_0087.JPG
    267.4 KB · Views: 42
  • DSC_0092.JPG
    DSC_0092.JPG
    271.9 KB · Views: 42
Epuka Udanganyifu:-
Mkopo wa Tai Five dhidi ya CRDB ni Milioni Mia Nane na Kumi ( Tsh 810,000,000 ) na tayari imelipwa Bilioni Moja na Milioni Mia Nne ( Tsh 1,400,000,000).
Mkopo huo ulichukuliwa kwa ajili ya Ujenzi wa Jengo la Biashara MWADECO COMPLEX, Jengo ambalo Halmashauri ya Jiji la Mwanza imetaifisha bila sababu maalum.
Hivyo basi, Tai Five inawataka CRDB kuacha kupotosha Jamii na Kumdhalilisha Mteja wake bila sababu, kama kuna shida/tatizo upande wao ni bora kumuita Tai Five na kukaa nae Mezani awape mtiririko wa Malipo yake.
Mkopo Mil 810, imelipwa Bil 1.4 ???????????????????????
 
Epuka Udanganyifu:-
Mkopo wa Tai Five dhidi ya CRDB ni Milioni Mia Nane na Kumi ( Tsh 810,000,000 ) na tayari imelipwa Bilioni Moja na Milioni Mia Nne ( Tsh 1,400,000,000).
Mkopo huo ulichukuliwa kwa ajili ya Ujenzi wa Jengo la Biashara MWADECO COMPLEX, Jengo ambalo Halmashauri ya Jiji la Mwanza imetaifisha bila sababu maalum.
Hivyo basi, Tai Five inawataka CRDB kuacha kupotosha Jamii na Kumdhalilisha Mteja wake bila sababu, kama kuna shida/tatizo upande wao ni bora kumuita Tai Five na kukaa nae Mezani awape mtiririko wa Malipo yake.
Hii kitu inauma sana kama hujawahi kukopa bank pls kaa kimya tu kuna mengi mabaya na ya kushangaza huko
Si mnakumbuka sakata la nyumba ya Dr . Slaa?
 
Hali ni mbaya sana mtaani, bado wafanyakazi wa serikali kupunguzwa, nasikia Wage Bill ni kubwa mno, hivyo ili kubana matumizi ataunganisha baadhi ya Taasisi ili zifanye kazi ambayo ingefanywa na taasisi moja, yaan punguzo la wafanyakazi litakuwa ni kilio kikubwa sana
 
Hali ni mbaya sana mtaani, bado wafanyakazi wa serikali kupunguzwa, nasikia Wage Bill ni kubwa mno, hivyo ili kubana matumizi ataunganisha baadhi ya Taasisi ili zifanye kazi ambayo ingefanywa na taasisi moja, yaan punguzo la wafanyakazi litakuwa ni kilio kikubwa sana
Malawi wametangaza kazi jmn nibora watu wakaenda huko ss
 
Kweli mkopo ni mzuri na ukijua kuutumia utatajirika. Ila biashara yako ikienda kombo utauchukuia mkopo.

Hapo kesho mida ya saa 4 asubuhi kutakuwepo na mnada utakaohusisha uuzwaji wa Tai Five hotel iliyopo karibu na kona ya Bwiru Jijini Mwanza.

Sijui huyu ndugu naye anaisoma namba maana siku hizi mikutano na semina za serikali hazifanyikii tena mahotelini; kwahiyo hali ya kibiashara hasa mahoteli makubwa ni mbaya.

View attachment 436809

Hatari sana, sijui tunaelekea wapi. Kuna shule kama mbili huko Kilimanjaro nazo zinapigwa mnada.
 
Hali ni mbaya sana mtaani, bado wafanyakazi wa serikali kupunguzwa, nasikia Wage Bill ni kubwa mno, hivyo ili kubana matumizi ataunganisha baadhi ya Taasisi ili zifanye kazi ambayo ingefanywa na taasisi moja, yaan punguzo la wafanyakazi litakuwa ni kilio kikubwa sana
Ndo maana ya lile dokezo la rc wa ma rc!!
 
Sijui tarimo atakuwa kwenye hali gani wameuza tai five na nyumba ya kuishi mkataba wa maduka ya pamba hali si hali
 
Epuka Udanganyifu:-
Mkopo wa Tai Five dhidi ya CRDB ni Milioni Mia Nane na Kumi ( Tsh 810,000,000 ) na tayari imelipwa Bilioni Moja na Milioni Mia Nne ( Tsh 1,400,000,000).
Mkopo huo ulichukuliwa kwa ajili ya Ujenzi wa Jengo la Biashara MWADECO COMPLEX, Jengo ambalo Halmashauri ya Jiji la Mwanza imetaifisha bila sababu maalum.
Hivyo basi, Tai Five inawataka CRDB kuacha kupotosha Jamii na Kumdhalilisha Mteja wake bila sababu, kama kuna shida/tatizo upande wao ni bora kumuita Tai Five na kukaa nae Mezani awape mtiririko wa Malipo yake.
Mwadeco lilikuwa ni shirika la umma kama ddc likawaje tena tarimo katumia nyumba ya umma kukopa benki? haya madili ya kimbowembowe sasa Ngosha ayafanyie kazi, waziri mkuu Majaliwa anapaswa kuja Mwanza na kulifanyia kazi, huu ni wizi tu.
 
Back
Top Bottom