MWANZA: Hotel ya Tai Five yapigwa mnada

MWANZA: Hotel ya Tai Five yapigwa mnada

Tat


Tatizo hapa wala si wateja bali ni kugharamia mali ya muda mrefu (long-term assets) kwa mtaji wa muda mfupi (short-term borrowings i.e less than five years). Asset kama hii inatakiwa igharamiwe na Tanzania Investment Bank kwa mkopo usiopungua miaka 20. Unapochukuwa mkopo wa miezi 36 au 60 kugharamia mali ya muda mrefu wa kama miaka 50 lazima mapato ya hiyo asset itashindwa kulipa huo mkopo
Unachosema ni kweli tupu, haya mabenki yamekuwa yakiwaibia wateja wao, unampa mtu mkopo aanze kurejesha baada ya mwezi yaani hata huo mkopo haujauchukua benki unaanza kurejesha na riba, mbaya zaidi wanakupa mkopo katika muda watakaopenda wao, muda mwingine wanakupigia simu wakati ulishakata tamaa ya huo mkopo na mipango ulishabadilisha.
 
sasa swali langu ni kwambaaaaaa,kama hii inapigwa mnada coz inapata hasara,nani atanunua aingie nayeye hasara?
 
Tarimo mmiliki wa hii hotel alikuwa na deni crdb la muda mrefu
 
Hawa ndio walikuwa mstari wa mbele kipindi cha kampeni,

Walikuwa hawajui ni ile ile......!!!
 
Huenda ana hela zakuweza kulipa Deni lote ila anaona bora hotel iuzwe abadili biashara.
Hatakuwa maskini kamwe
 
Back
Top Bottom