Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,701
- 6,932
Hulka ya binadamu wengi ni kufurahia anguko la wengine
Na kuna watafiti kama sikosei wa Psychology wanafanyia kazi topic hii, sasa sijui kama wamemaliza au la?
Hulka ya binadamu wengi ni kufurahia anguko la wengine
Hiyo hotel imejengwa juu ya makaburi ya kitangiri, usiku wateja wanakabwa na mashetani, labda atakayeinunua aifanye kanisa la walokole
Kama huna akili timamu kaa kimya!! Au nenda kule kwenye kambi yenu mirembe DodomaKama anayeiuza ameona biashara ya Hotel ni mbaya, huyo anayeinunua anaitaka kwa ajili ya kufanyia nini ?
Kama watu mifukoni hawana pesa huyo atakayeinunua atatumia MAWE ?
Watu wana pesa wewe tu kutwa kuchwa uko kwenye maandamano utapata wapi mtonyo.
Hii roho yako ukhuty sio nzuri kwakweli.Au una uhakika Tarimo alikuwa anahujumu uchumi?Ipigwe tu ndo wahujumu uchumi hao ilikuwa![]()
Inateterekaje, yaani huyo mmiliki kutetereka ndio sekta binafsi imetetereka ?
Hotel inanunuliwa na mtu mwingine na inaendelea kuajiri watu vile vile.
Au unafikiri mtu anannunua afugie mbuzi.
Lazima atakuwa na mawazo, chezea mkopo wewe, alishindwa kuiendesha kitambo kidogo, sijui Crdb walikuwa wanamsikilizia, sasa alivyoingia ngosha ndio kaharibu kila kitu, Crdb wameona isiwe tabu, wauze wachukue chaopole sana mmiliki..Sijui saivi una hali gani dah inasikitisha sana.
Hahah wanashinda wanapiga picha kwenye zile lift siku nzima mkuu.Kweli kabisa..kama walivyogeuza Rock City mall sehemu ya kupigia picha..
Kwa hiyo dr.Ndodi naye alikua anakabwa kila akija pale mwz kwenye shughuli zake?cha ajabu alikua hakomi kufikia kwenye hotel hio.Hiyo hotel imejengwa juu ya makaburi ya kitangiri, usiku wateja wanakabwa na mashetani, labda atakayeinunua aifanye kanisa la walokole
Asee Kipindi hicho huyu jamaa wa T5 anapewa huo mkopo na crdb, ma mangi wengi wengi sana crdb iliwapatia mkopo kipindi hicho na waliinuka kwa sana tu na wakawa ma taita pale mwanza.Lazima atakuwa na mawazo, chezea mkopo wewe, alishindwa kuiendesha kitambo kidogo, sijui Crdb walikuwa wanamsikilizia, sasa alivyoingia ngosha ndio kaharibu kila kitu, Crdb wameona isiwe tabu, wauze wachukue chao
Maskini Tarimo.....
Kambi yenu haijakamilika bado chongchung na Jason....Hii ni Hotel Mwanza... Lodge Arusha na Dar
Ujumbe umefika kwa walengwa,mie napita tuMkuu. Kuna concept moja kwenye uchumi inaitwa multiplier effect, naona watu wengi wanaoshabikia hizi biashara kuyumba hawaielewi. Sasa subiri maumivu yamfikie huyo "mtu wa kawaida" ndio watu wataanza kusaga meno. serikali ya jirani zetu kenya walijaribu hii kitu ya kunyanyapaa sekta binafsi. Ndani ya miezi michache uchumi wao ukaanza kuyumba..mapato ya kodi yakaanza kushuka. Uzuri rais kenyatta hua hachelewi kubadili gia akiona amekosea...akaruhusu tena serikali kutumia huduma binafsi..na ndio kilichowaokoa. Sasa sisi badala ya kujifunza kwa wenzetu...tunataka kurudia makosa yao. Ngoja tu sasa tuone...tuombeane uhai tu.