MWANZA: Hotel ya Tai Five yapigwa mnada

MWANZA: Hotel ya Tai Five yapigwa mnada

Miafrika mijinga sana. Inafurahia anguko la wengine wakati watakaoteseka ni hao hao ndugu zao maskini.

Wafanyakazi watapoteza kazi. Ile hata trickle down ya uchumi ambayo inamfikia hata wa chini hamuijui.
Tajiri mmoja akitikisika. Mamia ya maskini wanaumia.

Tajiri atatafuta tu njia nyingine za kuishi na kupata fursa zingine. Je hao maskini ndugu zetu?

Ndugu IQ za baadhi ya waafrika haswa watanzania ni ndogo kama sisimizi. Wanafikiri atakayeumia ni anayeuziwa hotel wakati uhalisia jamii ndo itaumia. Zipo ajira kibao za watu walikuwa nazo hapo zimekatika. Waliokuwa wanauza vyakula na vitu vingine hawatauza tena, kwa ujumla chain ni ndefu.

Kwa ujumla wachawi ndo walio na roho mbaya na chuki pale wanapoona mwenzao wanafanikiwa. Na wanatamani kufanya hata ulozi wao waharibu biashara au kuua kabisa ili usisonge mbele. Kwenye jamii wachawi wapo na mara nyingine ni vigumu sana kuwafahamu.

Sasa wengine wanaonyesha makucha yao ya KICHAWI kama hawa wanaofurahia mwenzao kupata hasara. UKIMUONA MTU ANAYEFURAHIA MWENZAKE KUPATA HASARA AU KUINGIA KWENYE MATATIZO KAA NAYE MBELI SANA.
 
Inavyoonekana biashara nyingi zilizotegemea serikali kama Mteja mkuu zitaendelea kufungwa kama waendeshaji wake hawatajiri idara mpya ya masoko itakaotafuta wateja wa kawaida,

Sasa ni zamu yetu wananchi wa kawaida kulala kwenye hoteli za nyota tano kwa 20,000/=badala ya 200,000/=

Na kufanya vikao vyetu vya harusi kwenye kumbi Nzuri kwa gharama tunazozimudu.
Nchi hii ni yetu sote.
Jpm shikilia hapohapo.
Wivu wa kijingaa huoo
 
Looh, na LANDMARK HOTEL ya Riverside nayo imepigwa mnada??? Sikuwa na taarifa hiyo, this is news!!! Nani kainunua??
Hahah mbona umeshtuka mamdogo? Hapana ile haijauzwa ila imegeuzwa hostel ya wanachuo ila inapoelekea ni kuuzwa tu Mkuu
 
Hahah mbona umeshtuka mamdogo? Hapana ile haijauzwa ila imegeuzwa hostel ya wanachuo ila inapoelekea ni kuuzwa tu Mkuu

Kilichonisitua ni kuwa hiyo hotel ina kumbi nyingi za arusi hivyo sikutarajia igongwe na mdororo. Ila pungufu lao kuu ni nafasi za parking ya magari, sijui kama wanaweza kuhost magari ya arusi tatu!!!
 
Kweli mkopo ni mzuri na ukijua kuutumia utatajirika. Ila biashara yako ikienda kombo utauchukuia mkopo. Hapo kesho mida ya saa 4 asubuhi kutakuwepo na mnada utakaohusisha uuzwaji wa Tai Five hotel iliyopo karibu na kona ya Bwiru Jijini Mwanza. Sijui huyu ndugu naye anaisoma namba maana siku hizi mikutano na semina za serikali hazifanyikii tena mahotelini; kawhiyo hali ya kibiashara hasa mahoteli makubwa ni mbaya.
Kama anayeiuza ameona biashara ya Hotel ni mbaya, huyo anayeinunua anaitaka kwa ajili ya kufanyia nini ?

Kama watu mifukoni hawana pesa huyo atakayeinunua atatumia MAWE ?

Watu wana pesa wewe tu kutwa kuchwa uko kwenye maandamano utapata wapi mtonyo.
 

Attachments

  • BULAYA.jpg
    BULAYA.jpg
    43.1 KB · Views: 53
Kilichonisitua ni kuwa hiyo hotel ina kumbi nyingi za arusi hivyo sikutarajia igongwe na mdororo. Ila pungufu lao kuu ni nafasi za parking ya magari, sijui kama wanaweza kuhost magari ya arusi tatu!!!
Mmh Harusi 3 hawawezi pale, nafasi hakuna ila pesa zao nyingi wanapigia kwenye harusi Sana Sana.
 
Hili jambo si la kufurahia sana....... Hapo familia ngapi zimeathirika kwa hiyo Hotel kufungwa......
 
Hotel ina miaka mingi hyo karibia 10,yaweza kua ni amefanya kusudi kuliko kurudisha mkwanja mrefu afadhali wauze jengo ajiendee zake na biashara zingine
Nadhani inapigwa mnada na Crdb bank, coz mwenye hotel kuna miaka kadhaa nyuma alishindwa kurejesha ikawa inaendeshwa chini ya uangalizi wa bank, baadae tena akaendelea kuendesha mmliki, naona mambo yamebana Crdb wameona isiwe taabu.......
 
Sasa ndugu, sekta binafsi inapotetereka huyu mtu wa kawaida unayemsema anakuwa na hali gani? coz kuna mengi yanayofuata kukosekana ajira, kupungua mzunguko wa fedha nk. Tajiri hana shida atabadili namna ya uwekezaji na kuchagua utaomfaa yeye
Inateterekaje, yaani huyo mmiliki kutetereka ndio sekta binafsi imetetereka ?

Hotel inanunuliwa na mtu mwingine na inaendelea kuajiri watu vile vile.

Au unafikiri mtu anannunua afugie mbuzi.
 
na bado trump mtoa misaada hajaingia ikulu..

ameshasema misaada hakuna...kitu usaid wanasepa.. hadi arv mtanunua wenyewe...

hapo magufuli atabana matumizi mpaka basiiiiiiii...

hiii trellla ngoja trump azame mjengon january
Acha basi arv zikiuzwa vijijini itakuwaje mkuu wafikirie na wengine wasio na uwezo lkn wana haki ya kuishi
 
Inateterekaje, yaani huyo mmiliki kutetereka ndio sekta binafsi imetetereka ?

Hotel inanunuliwa na mtu mwingine na inaendelea kuajiri watu vile vile.

Au unafikiri mtu anannunua afugie mbuzi.
Biashara ya hoteli ingekuwa nzuri hapo muhusika angeshindwa kulipa kodi. Akiweza atafugia mbuzi ndio kwani hoteli si jengo tu, mbona nyingine imegeuzwa hosteli za wanafunzi kule Riverside Ubungo.

Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
 
Biashara ya hoteli ingekuwa nzuri hapo muhusika angeshindwa kulipa kodi. Akiweza atafugia mbuzi ndio kwani hoteli si jengo tu, mbona nyingine imegeuzwa hosteli za wanafunzi kule Riverside Ubungo.

Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo mwenye Hotel kashindwa kuigeuza Hostel?

Unaanzishaje biashara ya hotel kwa kutegemea serikali wakati serikali ina kumbi zake?

Au unadhani hizo kumbi za serikali ni za kufugia kuku?
 
Mkuu aliyekwambia Trump ni mtoa misaada ni nani? Na mbona misaada imeshakatwa hata kabla ya Trump hajawa mgombea wa GOP!?

Hope fades for Dar as MCC shuts office

na bado trump mtoa misaada hajaingia ikulu..

ameshasema misaada hakuna...kitu usaid wanasepa.. hadi arv mtanunua wenyewe...

hapo magufuli atabana matumizi mpaka basiiiiiiii...

hiii trellla ngoja trump azame mjengon january
 
Huu ni wakati wa wafanyabiashara kuacha kufanya biashara kwa mazoea,la maana waongeze ubunifu otherwise watalia kila mara mbona wengine wanaojiendesha kisasa hawafilisikiii..hawa walikuaga na mtandao na baadhi ya watumishi wa umma sasa limebuma ndo hawana kujiongeza
 
Back
Top Bottom