Mwandosya akiri - JF source kupata habari alipokuwa India

kumbe huwa anachabo humu? Bora mie sijamtakia mabaya. Kipenzi chako faiza foxy anakuwakilisha vyema jukwaani

Mwandosya karudi na wengi walikuwa wanombea asirudi na mwenyewe kasema huko kuna waliokuwa wanamuombea arudi kwenye Jeneza, jiulize ni kina nani hao? "kama aliemnukuu kasema kweli". Sisi tunamuombea salama na tunauhakika, madudu yatashughulikiwa.
 
Pole sana profesa na karibu nyumbani kuendelea na majukumu yako ya kuhudumia Watanzania wenzako.

Mungu akusaidie upone kabisa haraka iwezekanavyo na wananchi wa Rungwe Mashariki na nchi nzima waendelee kufaidika na uongozi wako.
 
Prof wa ukweli nakuombea afya njema. Na ninakushauri malizia kipande cha uwaziri wako kwa KIWANGO cha aina yake kabisa.

KILA LA HERI Profesa Mark Mwandosya.
 
Okey,...kumbe yule E.Mwandosya ndo yeye au ni mtoto wake?

Sina uhakika kama nilikuombea mema mheshimiwa,....na sitamuombea mema kiongozi yeyote atakae ugua na aende kutibiwa nje ya nchi hali akijua kabisa kwamba anapaswa kusimamia ujenzi wa huduma bora za afya hapa nchini ili kila mtanzania atibiwe nyumbani.

Wewe umeenda kutibiwa India, karibia nusu mwaka, ...mama yangu aliugua tukaomba msaada serikalini akatibiwe nje ya nchi (maana huduma za ugonjwa wake hazikuwepo nchini) tukakosa,....

Leo hii, tumejipigapiga kweli, kaenda kutibiwa Sweden, hadi anapona tume filisika kweli, ....nyumba imeuzwa, kiwanja kimeuzwa na leo hatuna mbele wala nyuma,....atleast kungekua na huduma bora hapa hapa nchini tungeuza kiwanja peke yake.

Kwanini niombee mema viongozi wanaopaswa kusimamia huduma bora (na hawasimamii kwa kuwa wakiugua fasta wanaenda nje) ili wapone,....

Honor, Nilikuombea usirudi salama, ...kama nilivomuombea Zitto, nnavomuombea Mwakyembe.

Na what is bad, hata mkirudi hamuoni umuhimu wa kutaka tuwe na hospitali kama mnazoenda kutibiwa huko.

Tuambieni basi kama serikali imewekeza (Imejenga ) hospitali nyingine ya Taifa huko
 
Hiyo siri ni bora aitoe mapema maana akichelewa ndo watammaliza kabisa ili afe nayo na watu wasijue kilichomsibu
 
maelezo yako ni kama ya mtu ambaye unamshangaa Mwandosya kwa kulalamika.
Lakini mimi katika maelezo yake sionipopote alipolalamika, bali nilichoona ni maelezo juu ya alichokisoma ha JF bila ya kuongeza hisia zake.

okey! nimekusoma mkuu, sikumbuki kama nilimuombea mema au mabaya, ila nasikitika ndugu zangu wengi wanaokufa kwa kukosa huduma muhimu ili hali uhasimu wa wanasiasa unapelekea mtu mmoja kwenda kulazwa nje ya nchi kwa pesa za wafuja jasho wanaokufa kwa kukosa dawa za malaria,
 
Hivi huyu Mwandosya ni kwa nini hataki tujue kilichokuwa kimemsibu hadi akapelekwa India kutibiwa? Kama hataki tusimwone anachukua fomu ya kugombea urais maana afya ya rais mtarajiwa haiwezi kuwa siri kwa mwajiri wake (Wananchi).
 
Ningefurahi kama ningemsikia akisema" kuna haja kwa serikali kujenga hospitali bora ambazo si viongozi tunazikimbila huko India kwani waTz wengi hawana uwezo wa kwenda huko"
 
Prof mwando ni mojawapo ya vichwa madini tanzania,prof luhanga anaamini vichwa madini vipo viwili tu ndani ya nchi yaani yeye na mwando.Siwezi nikabisha sana kuhusu hilo lakn tz haijanufaika na madini watu kama vile madini machimbo tusivyonufaika nayo,nn cha maana alichokifanya prof mwando ambacho hata raia wa kawaida atakiri kwamba tuna majembe ndani ya nchi?
 
Okey,...kumbe yule E.Mwandosya ndo yeye au ni mtoto wake?

Sina uhakika kama nilikuombea mema mheshimiwa,....na sitamuombea mema kiongozi yeyote atakae ugua na aende kutibiwa nje ya nchi hali akijua kabisa kwamba anapaswa kusimamia ujenzi wa huduma bora za afya hapa nchini ili kila mtanzania atibiwe nyumbani.

Wewe umeenda kutibiwa India, karibia nusu mwaka, ...mama yangu aliugua tukaomba msaada serikalini akatibiwe nje ya nchi (maana huduma za ugonjwa wake hazikuwepo nchini) tukakosa,....

Leo hii, tumejipigapiga kweli, kaenda kutibiwa Sweden, hadi anapona tume filisika kweli, ....nyumba imeuzwa, kiwanja kimeuzwa na leo hatuna mbele wala nyuma,....atleast kungekua na huduma bora hapa hapa nchini tungeuza kiwanja peke yake.

Kwanini niombee mema viongozi wanaopaswa kusimamia huduma bora (na hawasimamii kwa kuwa wakiugua fasta wanaenda nje) ili wapone,....

Honor, Nilikuombea usirudi salama, ...kama nilivomuombea Zitto, nnavomuombea Mwakyembe.

Na what is bad, hata mkirudi hamuoni umuhimu wa kutaka tuwe na hospitali kama mnazoenda kutibiwa huko.

maneno makali haya ..mwandosya lazima ayasome haya yeye si anatembelea JF?
 
Lut kanal mwandosya
pengine wapowanaosema umekosea lakini usiwe na wasi wasi yussuf aliota kama wewe atakuwa waziri mkuu na kuwaita nduguze na babake kwamba mnajuaa ipo siku ntawaongoza wote babake akamwambia what??akamwambia yes nakwambia wote mtakuwa chini yangu ..ilichukua miaka saba ndoto yake kutimia ikiwa ni pamoja na kutaka kuuwawa na wengine kuwamua kumtupa baharini na baadae akawa waziri mkuu.................................

Kilichomponza akatupwa baharini ni jinsi gani ya kutunza siri ..mzee wangu nakupenda lakini kilicho mooyoni jaribu kukitunza watu wengi wanapoteza bahati zao kutokana nakushindwa kuvumilia yaliyo sirini ....
 
Okey,...kumbe yule E.Mwandosya ndo yeye au ni mtoto wake?

Sina uhakika kama nilikuombea mema mheshimiwa,....na sitamuombea mema kiongozi yeyote atakae ugua na aende kutibiwa nje ya nchi hali akijua kabisa kwamba anapaswa kusimamia ujenzi wa huduma bora za afya hapa nchini ili kila mtanzania atibiwe nyumbani.

Wewe umeenda kutibiwa India, karibia nusu mwaka, ...mama yangu aliugua tukaomba msaada serikalini akatibiwe nje ya nchi (maana huduma za ugonjwa wake hazikuwepo nchini) tukakosa,....

Leo hii, tumejipigapiga kweli, kaenda kutibiwa Sweden, hadi anapona tume filisika kweli, ....nyumba imeuzwa, kiwanja kimeuzwa na leo hatuna mbele wala nyuma,....atleast kungekua na huduma bora hapa hapa nchini tungeuza kiwanja peke yake.

Kwanini niombee mema viongozi wanaopaswa kusimamia huduma bora (na hawasimamii kwa kuwa wakiugua fasta wanaenda nje) ili wapone,....

Honor, Nilikuombea usirudi salama, ...kama nilivomuombea Zitto, nnavomuombea Mwakyembe.

Na what is bad, hata mkirudi hamuoni umuhimu wa kutaka tuwe na hospitali kama mnazoenda kutibiwa huko.

Uliosema ni sawa kabisa lakini kuwaombea mabaya ndio kutazitengeneza huduma za afya hapa kwetu? Hata Nyerere alipelekwa kutibiwa Uingereza kwa gharama za Serikali lakini wakati wake ulifika hajarudi au ilikuwa ni dua zako?
 
Okey,...kumbe yule E.Mwandosya ndo yeye au ni mtoto wake?

Sina uhakika kama nilikuombea mema mheshimiwa,....na sitamuombea mema kiongozi yeyote atakae ugua na aende kutibiwa nje ya nchi hali akijua kabisa kwamba anapaswa kusimamia ujenzi wa huduma bora za afya hapa nchini ili kila mtanzania atibiwe nyumbani.

Wewe umeenda kutibiwa India, karibia nusu mwaka, ...mama yangu aliugua tukaomba msaada serikalini akatibiwe nje ya nchi (maana huduma za ugonjwa wake hazikuwepo nchini) tukakosa,....

Leo hii, tumejipigapiga kweli, kaenda kutibiwa Sweden, hadi anapona tume filisika kweli, ....nyumba imeuzwa, kiwanja kimeuzwa na leo hatuna mbele wala nyuma,....atleast kungekua na huduma bora hapa hapa nchini tungeuza kiwanja peke yake.

Kwanini niombee mema viongozi wanaopaswa kusimamia huduma bora (na hawasimamii kwa kuwa wakiugua fasta wanaenda nje) ili wapone,....

Honor, Nilikuombea usirudi salama, ...kama nilivomuombea Zitto, nnavomuombea Mwakyembe.

Na what is bad, hata mkirudi hamuoni umuhimu wa kutaka tuwe na hospitali kama mnazoenda kutibiwa huko.

hivi wewe ni mtz? Au nawe ni miongoni mwa vijana wa al shabaab?
 
Sivizuri kuombea watu kufa, binadamu wote ni mali ya mungu wawe mafisadi au watu wema kwake yeye uhai ni haki ya kila mtu. Mungu huwanyeshea mvua wema na wabaya kwakua hana upendeleo.
 
Back
Top Bottom