Mwandosya akiri - JF source kupata habari alipokuwa India

Rome was not built in a day, nyie mnajuwa huko India hata nchi za magharibi wanaenda kutibiwa?

India wako kwenye mkakati wa kufanya health care industry kuwa ni moja kati ya vyanzo vikubwa vya pesa za kigeni.

Sisemi tubweteke, la hasha, nasema wakati tunaendelea kuboresha huduma zetu tusiwache kuwapeleka wagonjwa wetu nje kama ndiko matibabu yao yanapatikana. Nayo pia ni njia moja ya kufanya hospitali zetu zilete ushindani.


Huo usemi ni wa kipuuzi sana.
Eti twendelee kuboresha,...
Kila kitu twendelee kuboresha,ndani ya miaka 50?
Wakati tunapata uhuru tulikuwa sawa kabisa na india kama sio zaidi yao.
Nambie tulicho "boresha" hata kimoja kinacho watoa watu nje kuja Tanzania kukifata.

Uwe great thinker,usinambie wanakuja kuchukua madini au minofu ya samaki.
 
Pole Mh Mwandosya, tunakuombea afya yako irudi kama mwanzo.

Ila sie watanzania tunasubiri tuone makali yako kwa kuishughulikia DAWASA na DAWASCO tu!
 
Mwandosya,
Ni vizuri kama ulifuatilia jamvi hili, nadhani unapata picha ya maoni ya waJF ambayo ni kama kauli ya waTZ waliowengi lakini wameminywa.
 
Prof Mwandosya speaks out

By Florian Kaijage

4th December 2011


Prof Mark Mwandosya addressing a press conference in Dar es Salaam yesterday.
Minister for Water, Professor Mark Mwandosya yesterday emerged, breaking the silence by speaking about his future political plans as to vying for the country’s top job as well as on rumours about his health condition.

Prof Mwandosya was hospitalised in India for five months and returned on Thursday this week. During the press conference, Professor Mwandosya opted to remain non-committal about personal plans for the 2015 presidential candidacy, saying a discussion of that nature is irrelevant until 2014.

He said it was untimely to discuss a successor to President Jakaya Kikwete while the reigning government had a good number of public commitments to honour. He said: “Every government has a specific tenure to reign and thus has to serve the public. Likewise the CCM government made pledges which are to be fulfilled; in my case I have a responsibility to ensure Tanzanians get safe water. “I should concentrate fully on that and others should do the same to push the development agenda which should not be compromised by premature presidential aspirations,” he told the press conference in Dar es Salaam. “This question (of presidential candidacy) should be posed to me in year 2014 because at the moment the public will not understand us when some of us dwell much on the presidency than delivering the services.

“I am aware that it is a general concept that the presidential race needs investment as some do but for me it does not work in that way since really I have got nothing to invest,” he stated Minister Mwandosya who is Rungwe East Member of Parliament intoned that the Kikwete government had the capacity to fulfill the pledges made during the 2010 election run, and that is why such pledges were made. The former university don came a distant third in the CCM presidential candidacy race in 2005, behind eventual winner Jakaya Kikwete and the former Secretary General of the then Organisation of African Unity (OAU), now African Union, Dr Salim Ahmed Salim.

He once served as the Permanent Secretary at the Ministry of Energy and Minerals under Kikwete as Minister, and as Minister for Communications during the third phase administration of President Benjamin Mkapa. Prof. Mwandosya is believed to be among senior CCM cadres aspiring for the presidential candidacy in Tanzania in the 2015 general elections.

On the nature of the disease he has been suffering from, his health condition and prescribed medical restrictions, Prof. Mwandosya was not ready to give details as he gave a well known principle that the disease was a secret between a patient and a medical doctor. He said it was normal that he would be flying back to India for medical checks on his healing progress.
“All medics are happy to see their patients recover as per their professional oaths, thus they provide prescriptions which finally lead to total healing of the patient,” he remarked.

Asked about the cause of the disease he is suffering from and whether had ever thought that was in any way associated with his deemed political matters he said: “I believe this disease is natural as other diseases. There is no witch-hunting in this case as by doing so you risk entering into unnecessary conflict with so many people. Doctors look at various aspects including the patient’s history. Remember I had never been admitted at a hospital during my 30 years of civil service. It is therefore an important reminder that everybody can fall ill.”

A few months ago the Deputy Minister for Works, Dr Harrison Mwakyermbe, who is currently admitted in India, was quoted as saying that a number of cabinet ministers and other influential political figures were on an elimination list drawn up by a group alleged to work for big fish corruption suspects. He named himself and Prof. Mwandosya as among those targeted.

Minister Mwandosya whose area of specialization is electrical and electronics engineering expressed his thanks to President Kikwete, Vice President Dr Gharib Mohamed Bilal and Prime Minister Mizengo Pinda who coordinated a get well card, signed by all cabinet ministers and deputy ministers. He also thanked Zanzibar’s First Vice President Seif Shariff Hamad and opposition CUF chairman, Prof. Ibrahim Lipumba, who visited him at the hospital in India. Prof Mwandosya said he had realised that Tanzanians are passionate as he received mobile phone text messages and phone calls wishing him quick recovery from different sections of the public, including religious leaders.

The press conference at the ministry headquarters was also attended by Deputy Minister Jerryson Lwenge, Permanent Secretary Christopher Sayi, Deputy PS Bashir Mrindoko and heads of departments.


SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY
 
...Afu na hako ka-riziwani kake hako mmmh,....
Kwa huyu presidential hopeful tatizo sio huyo Riziwani wake, anaye Miraji wake mmoja ni noma, miezi michache iliyopita alikuwa na vijana wenzake usiku mkubwa wamelewa chakari wakapinduka na gari Toure Drive, karibu na kwa Waziri Mkuu, nilikuwa nyuma yao nikashuhudia chezo lote, nikasimama kusaidia, akawa anasema "my father is next president of Tanzania..." nikamuuliza who is your father, akasema Mwandosya, sikuamini ninachosikia, oh yeah? who are these other kids, akasema my friends, tumetoka kulewa masaki huko... alikuwa hajaumia sana, anaongea tu, nikamwambia kijana kwa mwendo huo you will spoil your father's chances of being the next president of Tanzania, nikamwambia to his face sikutegemea Mzee Mwandosya alivyo genial namna ile anaweza kuwa na mtoto umekata kamba namna hii...
 
Kwa huyu presidential hopeful tatizo sio huyo riziwani wake, anae miraji wake mmoja ni noma, miezi michache iliyopita alikuwa na vijana wenzake usiku mkubwa wamelewa chakari wakapinduka na gari Toure Drive, karibu na kwa Waziri Mkuu, nilikuwa nyuma yao nikashuhudia chezo lote, nikasimama kusaidia, akawa anasema "my father is next president of Tanzania..." nikamuuliza who is your father, akasema Mwandosya, sikuamini ninachosikia, oh yeah? who are these other kids, akasema my friends, tumetoka kulewa masaki huko... alikuwa hajaumia sana, anaongea tu, nikamwambia kijana kwa mwendo huo you will spoil your father's chances of being the next president of Tanzania, nikamwambia to his face sikutegemea Mzee Mwandosya alivyo genial namna ile anaweza kuwa na mtoto umekata kamba namna hii...

Subiri na wewe uzae ndio utajua utamu wa kulea..

Makosa ya mtoto (above 18) yanamhusu nini Mwandosya??? aargh
 
Mwandosya karudi na wengi walikuwa wanombea asirudi na mwenyewe kasema huko kuna waliokuwa wanamuombea arudi kwenye Jeneza, jiulize ni kina nani hao? "kama aliemnukuu kasema kweli". Sisi tunamuombea salama na tunauhakika, madudu yatashughulikiwa.

I can't ımagıne! We ndo ulıtuletea maada juu ya afya ya Prof kuwa amelogwa na hatarudı salama!
We bıbı mmbeya sana na mnafıkı mkubwa.
Muombe radhı Prof na Bı Mdoe umewakosea sana kwa kumwaga ushakunaku humu JF.
Usıfıkırı kıla mtu anaendekeza mıla potofu kama wewe ambaye nahc kıunonı umejaza matungulı na majını kıbao wanakulında.
Shame on you!
 
I can't ımagıne! We ndo ulıtuletea maada juu ya afya ya Prof kuwa amelogwa na hatarudı salama!
We bıbı mmbeya sana na mnafıkı mkubwa.
Muombe radhı Prof na Bı Mdoe umewakosea sana kwa kumwaga ushakunaku humu JF.
Usıfıkırı kıla mtu anaendekeza mıla potofu kama wewe ambaye nahc kıunonı umejaza matungulı na majını kıbao wanakulında.
Shame on you!

Kuna post hapo juu nilisema hata kudanganya hajui.
Sheri ya kudanganya ni "Usisahau ulowahi kusema"
Hapa leo kunapost kasema "Zitto is a talker not a doer" baada ya mda mfupi kwenye
thread ingine akasema "Zitto is a doer,am proud of him,akigombea uraisi nampa kura"

Ubibi ni mbaya sana unapokuwa mbeya,maana utaonekana huna maana bure
bora kuhamia kwenye kitchen party.

Alimponda mwandosya kweli hapa,leo anajidai anamtakia mema lol
 
Pole sana Prof. Mkono wa Mungu umekurudisha tena kazini baada ya miezi kadhaa. Tunakuombea afya njema. Maana uwepo wako ni muhimu kwa ajiri ya uongozi wa baadae wa Tanzania. Hawa wanaotumia nguvu kuupata hawana nia njema na nchi hii ndo maana wako tayari kufanya lolote bila kujari gharama zake.
 
okey! nimekusoma mkuu, sikumbuki kama nilimuombea mema au mabaya, ila nasikitika ndugu zangu wengi wanaokufa kwa kukosa huduma muhimu ili hali uhasimu wa wanasiasa unapelekea mtu mmoja kwenda kulazwa nje ya nchi kwa pesa za wafuja jasho wanaokufa kwa kukosa dawa za malaria,
Hilo linatuumiza wengi, sababu achilia mbali huduma mbovu zinazopatikana katika hospitali zetu, kinachouma zaidi ni pale ambapo madaktari na maafisa afya wetu na hata vituo na vya afya na hospitals vinapokuwa sehemu ya kwenda kupata ushauri tu wa aina gani ya dawa tukanunue au aina gani ya kipimo tukapime na wapi.
Hili linauma sana.
 
Hivi mtandao bado wapo intact?

Ama wamemeguka meguka?

And if so, who pulls the strings?
 
Mtandao huu ni pekee hapa nchini ambao uko huru. Kuna bloggers wengi tu ambao huchuja sana, na wengi wanahulka za kiitikadi. Zaidi ule unafahamiana na pengine umsifie kwanza ndio ......

Huu ni mtandao pekee ambao unatuunganisha watanzania po pote bila kujali itikadi, dini, kabila wala elimu.
 
Subiri na wewe uzae ndio utajua utamu wa kulea..

Makosa ya mtoto (above 18) yanamhusu nini Mwandosya??? aargh
Unajuaje sijazaa?

Makosa ya Ridhiwa kwani hayamhusu Kikwete? Kuna clip moja U-Tube ya Rose Nyerere anasema kitu cha kwanza baba yao alichofanya baada ya kustaafu aliwaita akawaambia watoto wangu nashukuru sana kwa kutonivunjia heshima. Point being, if the children of the President misbehave in public, that shames the office of the president too, Watanzania kwanini hamjifunzi kutoka kwa Ridhiwani Kikwete alivyo haribu image ya baba yake kwa namna moja au nyingine?
 
Back
Top Bottom