Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,682
kama ni issue ya kupeana raha tu, hapotezi muda kwa wanaume wachovu wa kupandishana daladala
Ukiongeza na mkwanja wa uhakika..........NAUNGA MKONO HOJAAA!!!
kama ni issue ya kupeana raha tu, hapotezi muda kwa wanaume wachovu wa kupandishana daladala
Trekta nalo si gari? Faza amenirisisha trekta last week
Trekta nalo si gari? Faza amenirisisha trekta last week
Huyo mzembe anajua kama mimi ni Mod?Kuna kidume huku jf sijui kina treni ya umeme kimekuibia mke humu baba! Hebu browse kwanza kabla sijakupa umbea nikasutwa mie!
Trekta si gari bana KLQN lol! Mkitaka kwenda kujirusha sehemu sehemu hiyo speed yake ni utata mtupu! Halafu sijui kama utaruhusiwa kupark trekta lako sehemu za kujirusha 🙂🙂
Huyo mzembe anajua kama mimi ni Mod?
Acha nibrowse hebu nipe hint ni chit chat au jukwaa la wakubwa? manake nimegundua wizi wa wake za watu mala nyingi hapa JF unaanzia jukwaa la wakubwa baada watu kuangalia mapicha bila nguo
Mkuu hivi sweetlady bado hajamaliza kukaa heda ya nitonyeHuyo mzembe anajua kama mimi ni Mod?
Acha nibrowse hebu nipe hint ni chit chat au jukwaa la wakubwa? manake nimegundua wizi wa wake za watu mala nyingi hapa JF unaanzia jukwaa la wakubwa baada watu kuangalia mapicha bila nguo
King'asti wenyewe alikutana na PAW anga zile. mala zote mkuu sio mala kwa malakumbe ndo inavyokuwaga eeehhhh mala kwa mala sio?
Huyo mzembe anajua kama mimi ni Mod?
Acha nibrowse hebu nipe hint ni chit chat au jukwaa la wakubwa? manake nimegundua wizi wa wake za watu mala nyingi hapa JF unaanzia jukwaa la wakubwa baada watu kuangalia mapicha bila nguo
Anamaliza nekst wik, halaf habari za jikoni zinasema nitonye kakamatwa boda la guinea bissau anavusha biblia na misahafu kimagendo. Sweetlady aspoangalia anaweza akawa kizuka soonMkuu hivi sweetlady bado hajamaliza kukaa heda ya nitonye
Mkuu hivi sweetlady bado hajamaliza kukaa heda ya nitonye