Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Demu gani asiyependa mkoko man! Yaani ni ni silaha moja kali sana kwa mkaka. Yaani unakuta mdada kaegesha mguu kwenye dash board ndo raha yake atii! Ac inapooza baada ya kupeana starehe! Daladala mwana changanya na maji haba plus jua limeshuka chini kidogo majibu unayajua!