Mwanaume asiye na gari mi hata simkubalii!

Demu gani asiyependa mkoko man! Yaani ni ni silaha moja kali sana kwa mkaka. Yaani unakuta mdada kaegesha mguu kwenye dash board ndo raha yake atii! Ac inapooza baada ya kupeana starehe! Daladala mwana changanya na maji haba plus jua limeshuka chini kidogo majibu unayajua!
 
Ndyoko umebanwa kweli na issue za magari, nunua gari mkuu, nyumba utaimailizia taratiiiibu, si unajua ujenzi hauna haraka, isitoshe unaishi kwenye nyumba ya shirika
 
Hahaha! Hivi we na jirani mmeishia vipi. Lol.
Mjini kuna magari na vyombo vya usafiri ujue.
 
ha ha ha ha ha ha sasa ni wakati wako wa kununua gari mkuu maana kama vile walikuwa wanakusema hivi eti
 
''nimenunua pajero mtama kwa mashangingi........'' lolo!haka ka wimbo ka taarab ka zamani kidogo nadhani hili sio jambo geni japo madhumuni ya kutaka ulazima wa uwapo wa gari unatofautiana kulingana na hadhi za wanawake husika.
 
Jirani nakumbuka nilikupa lifti ya gari, nikakwambia lini na wewe utanunua gari yako? na leo tena umeniandika kwenye JF, tafadhli jirani hivi unashindwa kununua gari kweli? angalia sasa hata watoto wa kike wanakusanifu.
 
Nikiwa nimekaa siti ya nyuma ambapo siti ya mbele walikaa mabinti wawili-nikiri kuwa walikuwa warembo-nikawasikia wakiongea mambo yako ya kike kike. Pengine kwa kunogewa na maongezi ya mapenzi-inaonekana muda mfupi kabla ya kupanda gari walitongozwa na wanaume-mmoja akaropoka 'kwanza wanaume wenyewe gari hawana, shida gani watu baada ya kutoka kupeana raha tuanze karaa ya kugombania daladala'? Mwingine akadakia, kweli shosti mtu umejichokea kwa dozi zake halafu anazidi kukukaraisha kukupandisha midaladala'.

Mmoja kageuka nyuma kuniangalia, akakumbana na bonge la tabasamu langu. Nikawaambia ujumbe umefika......wakacheeeeeeeeka! Nikaamua kuunga stori na kuwambia........'Jamani hata sie wapanda daladala tunahitaji raha ya mapenzi', yule muongeaji sana akanijibu eti labda hadi mwanaume awe amemuingia haswa moyoni mwake, vinginevyo kama ni issue ya kupeana raha tu, hapotezi muda kwa wanaume wachovu wa kupandishana daladala.


Nikabaki hoi mie, looooh! Nikaunga na ile 'issue' yangu ya ' Hivi jirani kwa nini hununui gari', nikajisemea moyoni heri nimeshaoa, maana kama ningekuwa bado walahi mwaka huu ningechanganyikiwa!

POle sana ndyoko, me nahisi hukuwaelewa hao wada vyema. nasema hivo kwa maana kwamba wao wanataka mwanaume wa kupeana raha ndo awe na gari so wapo kimaslahi zaidi na kibiashara zaidi. hawajasema kuwa "shida gani wakat wa ndoa au mume gani hana gari........... Ple by the way mimi nina kagari kangu kasuzuki swift ila my boo hana hata baiskeli ila namheshimu sana! ndo maisha lakini usijali kila shetani na mbuyu wake.............
 
Ndyoko ukiwa tayari, njoo nikuuzie gari langu. Mimi naona maisha ya gari yananishinda. Maana vijana siku hizi wakikuona mdada una gari na kila siku unaenda kazini basi wanakufuzia hadi kero. Maisha ya daladala ni mazuri hasa kwa aneyejipanga kimaisha kama mimi. Usiogope, bei maelewano
 
Unapoenda kutafuta nguo unachagua inayokukaa na kukusitili size ya mwili wako hivyo hivyo unapotaka mke tafuta mnayeendana naye ,nahao wanawake wataolewa na wenye sifa za mawazo yao

Sawa kabisa

1. Wanaume hizi challenge ndo zetu tena ila si kila challenge lazima ikushughulishe kiviiileee

2. Hao watoto wa mujini dawa yao ni kumpa hope ipo majini n soon itatoka bandarini....yaan hawa ndo rahisi kabisaaaa unaenda net na kuprint ya kwenye yadi huko Japan na unaanza kumshughlisha yeye kwa mawasiliano on ur behalf na kumuasign kutafuta bureau ya bei nzuri ili msipate hasara

3. After that huwa wanakuwa kama mandondocha na kuanza kuwasimulia wenzake.....mpe na ahadi ya kwenda driving.....azurureee kutafuta vyou mpaka akome na tamaa zake, mkatishe learner na vibao vya L mnunulie pia

4. Mega then wasingizie maharami bannaaaaaa
 
Ndyoko umebanwa kweli na issue za magari, nunua gari mkuu, nyumba utaimailizia taratiiiibu, si unajua ujenzi hauna haraka, isitoshe unaishi kwenye nyumba ya shirika

it was a 12 months' plan to do it, na hapa countdown inaonyesha bado miezi 4
 
Sawa kabisa

1. Wanaume hizi challenge ndo zetu tena ila si kila challenge lazima ikushughulishe kiviiileee

2. Hao watoto wa mujini dawa yao ni kumpa hope ipo majini n soon itatoka bandarini....yaan hawa ndo rahisi kabisaaaa unaenda net na kuprint ya kwenye yadi huko Japan na unaanza kumshughlisha yeye kwa mawasiliano on ur behalf na kumuasign kutafuta bureau ya bei nzuri ili msipate hasara

3. After that huwa wanakuwa kama mandondocha na kuanza kuwasimulia wenzake.....mpe na ahadi ya kwenda driving.....azurureee kutafuta vyou mpaka akome na tamaa zake, mkatishe learner na vibao vya L mnunulie pia

4. Mega then wasingizie maharami bannaaaaaa

Mkuu that is more than going extra mile, aisee! Inawezekana wewe ni mmoja wa wale wanaoenda hadi ukweni na kuvalisha wadada pete za uchumba kabisa, mwishowe ukishamega mzee kiulainiiiiiiiiiiiiiiii unepotea na kubadili simu kabisa!
 
Ndyoko ukiwa tayari, njoo nikuuzie gari langu. Mimi naona maisha ya gari yananishinda. Maana vijana siku hizi wakikuona mdada una gari na kila siku unaenda kazini basi wanakufuzia hadi kero. Maisha ya daladala ni mazuri hasa kwa aneyejipanga kimaisha kama mimi. Usiogope, bei maelewano

Mbona mnaniandamisha na issue za magari jamani, mie nimeongelea mkasa huo tu, sasa inakuwaje mkasa wote unabackfire kwangu jamani. Au mlitaka issue ya gari nisiitaje? Msinifanye niache kuwaletea vituko vya malimwengu!
 
Maisha kuna kupanda na kushuka. Unapompenda m2 ucmpende kwa mali yake kwa7bu mali ikiondoka inamaana mapenzi yatakuwa bac kwake.So hilo halitakuwa pendo la dhati itakuwa pendo la kulaghai.Mm m'ke akinipenda anipende kiudhati co mali zangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom