OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,575
Mkuu that is more than going extra mile, aisee! Inawezekana wewe ni mmoja wa wale wanaoenda hadi ukweni na kuvalisha wadada pete za uchumba kabisa, mwishowe ukishamega mzee kiulainiiiiiiiiiiiiiiii unepotea na kubadili simu kabisa!
Ya nini kwenda kuharibu utu wako mbele ya wazee wasio na hatia na kuwatia presha bure kwa tamaa za fake divaz kaka. Extra bongo wanasema tulikutana kimjini mjini na tuachane kimjini mjini......ni kuwakorogea na kuwanywesha fasta fasta dozi zao then unaendelea na mishe zako kama hakijatokea kitu vileee