haya ni makubwa yenye uzito mdogo,sasa haya yote yanatokea wapi mpendwa wangu ilhali nilishakuomba samahan,au ina maana mm ndio mtu wa kwanza kulitumia neno uswahili au uswahilini au waswahili kwa maana niliyomaanisha,mbona hata mm ni swahili speaker which makes me kuwa mswahili pia.Tafsiri yako ya uswahilini si kama niliyomaanisha mim,uswahilin yangu ni ile ya kulee kote kuleee kwa wanakosutana na matarumbeta kuleee ambako mtu akila nyama kila siku ni tajiri kulee wanakojibizana kwa maneno ya kanga.Kila siku watu hapa wanawa-refer wasichana wa kutoka uswazi niliyomaanisha mim kuwa ni kuku wa kienyeji,au hujasikia,mbona huwashambulii..Pia sijakutusi ww mwenyewe ndo umeamua kutafsiri kuwa unatusiwa.Vile vile kinakushangaza nini hadi useme huku uswahilin tunafata nin wkt nina haki yakuweka makazi ktk sehemu yoyote niitakayo tanzania,kwanza hata majumba mazuri huko Dar ni sisi wakuja kutoka bara hao wenyewe wametuuzia viwanja ili wapate pesa za kucheza watoto na kuongeza idadi ya wake huku watoto wao wakiishia kuwa vibaka na mateja.Dar imejengwa na wakuja na watoto wa wenyeji ndio wanaongoza kwa ukibaka na uteja na uhuni.
hii ni coment yangu ya mwisho hapa naona hali si shwari na mie safari za dhoruba na mawimbi siziwezi.
nalog off.