Cheusi, Nadhani hujui nini maana ya uswahili au Waswahili, ngoja nikufafanulie,
Waswahili au uswahili ni asili ya watu wa pwani , yaani ukanda wa pwani, sasa unavosema wanapenda kuvaa magold na hizo sifa alizopewa shangingi katika uzi huu na comments nyingi wanasema ni yule ambae anapenda magold, na wewe unahusisha waswahili.
Mimi ni mswahili , nimetoka pwani nahisi kama unanitia katika kundi hilo ambalo sidhani kama waswahili wana hizo tabia.
Sifa za Shangingi ulizitaja vizuri kule mwanzo , na wengi wamezibabazua vema tu , lakini naomba nikusahihishe tu kuwa waswahili ni waswahili na mashangingi ni mashangingi ambao wameenea katika kila kona ya Tanzania.
Ahsante kama utanielewa.
wewe bana..
sasa wanaenda Dubai na CHina na wanawatumia vibaka pia?????
,Kwa kuongezea, sauti zao zinakwaruzakwaruza..huwezi kujua ni bass au alto au nini! Hii ni shauri ya kupayuka na kunywa mipombe kutwa na usiku kucha!
Ma mc wanawake wote mashangingi....
Wapambaji ukumbi za harusi na wenye tenda za kupika chakula harusini wengi ni mashangingi.......lols
uswahilini vibaka kibao lkn hawa mashangingi wanajulikana na vibaka wote,hakuna kibaka atakayempora sbb kwanza hawa mashangingi saa ingine wanawatumia vibaka ktk madeal yao.
FaizaFoxy wewe ni muongo!Tafadhali sana usiuhusishe uswahili na vibaka, mimi ni mswahili na nimezaliwa na kukulia uswahilini (Kariakoo). Napenda kukujuza kuwa enzi hizo, Kariakoo nyumba zilikuwa hazina uzio wa uwa, hazina ma grill ya vyuma, na tulikuwa tukilala milango wazi na madirisha wazi na nguo zetu zimeanikwa uwani usiku kucha, hakuna kibaka wala kuibiana na ikitokea basi huyo ni mgonjwa na anakuja kuiba chupi akafanyie mambo yake.
Vibaka tumeazna kuwaona baada ya kuanza kuja wageni wa bara uswahilini. Toka ujio wa hawa wasio waswahili "uswahilini" kumekuwa hakuna amani. Tafadhali sana usitutukane waswahili. Uswahili ni asili yetu na Kiswahili ni lugha yetu na Waswahili ni Wastaarabu to the minute. Kwa uswahili na waswahili nna maanisha wote waishio pwani ya Afrika mashariki na zaidi.
ushangingi ni lifestyle bana...kanaweza kuwa ng'onda lakini shangingi!
mkorogo
madera ya kuchomekea kwenye padlock
kupenda kitchen party
mipasho ya taarabu
vicheko vya keo
mabwana in multiples
uchunaji
mawigi ya kubandika
mikucha na mikope mirefref
kutokupenda kupika
kutembeleana mashoga na kupiga soga za umbeya!!
Tafadhali sana usiuhusishe uswahili na vibaka, mimi ni mswahili na nimezaliwa na kukulia uswahilini (Kariakoo). Napenda kukujuza kuwa enzi hizo, Kariakoo nyumba zilikuwa hazina uzio wa uwa, hazina ma grill ya vyuma, na tulikuwa tukilala milango wazi na madirisha wazi na nguo zetu zimeanikwa uwani usiku kucha, hakuna kibaka wala kuibiana na ikitokea basi huyo ni mgonjwa na anakuja kuiba chupi akafanyie mambo yake.
Vibaka tumeazna kuwaona baada ya kuanza kuja wageni wa bara uswahilini. Toka ujio wa hawa wasio waswahili "uswahilini" kumekuwa hakuna amani. Tafadhali sana usitutukane waswahili. Uswahili ni asili yetu na Kiswahili ni lugha yetu na Waswahili ni Wastaarabu to the minute. Kwa uswahili na waswahili nna maanisha wote waishio pwani ya Afrika mashariki na zaidi.
Tafadhali sana usiuhusishe uswahili na vibaka, mimi ni mswahili na nimezaliwa na kukulia uswahilini (Kariakoo). Napenda kukujuza kuwa enzi hizo, Kariakoo nyumba zilikuwa hazina uzio wa uwa, hazina ma grill ya vyuma, na tulikuwa tukilala milango wazi na madirisha wazi na nguo zetu zimeanikwa uwani usiku kucha, hakuna kibaka wala kuibiana na ikitokea basi huyo ni mgonjwa na anakuja kuiba chupi akafanyie mambo yake.
Vibaka tumeazna kuwaona baada ya kuanza kuja wageni wa bara uswahilini. Toka ujio wa hawa wasio waswahili "uswahilini" kumekuwa hakuna amani. Tafadhali sana usitutukane waswahili. Uswahili ni asili yetu na Kiswahili ni lugha yetu na Waswahili ni Wastaarabu to the minute. Kwa uswahili na waswahili nna maanisha wote waishio pwani ya Afrika mashariki na zaidi.
Faizafoxy
hebu nijibu hilo swali...
mashangingi ya NEC CCM,au CHADEMA ndo haya haya tuliopewa tafsiri au??????
Hao wageni wa kutoka bara wamekuja na maendeleo wakiwaacha wenyeji waswahili wakicheza bao na kusomesha watoto wao madrasa.hao watoto kubaki kulakulala na kukosa kipato then wanaanza udokozi wauze vitu ili nao waishi kama wageni kutoka bara!!!Tafadhali sana usiuhusishe uswahili na vibaka, mimi ni mswahili na nimezaliwa na kukulia uswahilini (Kariakoo). Napenda kukujuza kuwa enzi hizo, Kariakoo nyumba zilikuwa hazina uzio wa uwa, hazina ma grill ya vyuma, na tulikuwa tukilala milango wazi na madirisha wazi na nguo zetu zimeanikwa uwani usiku kucha, hakuna kibaka wala kuibiana na ikitokea basi huyo ni mgonjwa na anakuja kuiba chupi akafanyie mambo yake.
Vibaka tumeazna kuwaona baada ya kuanza kuja wageni wa bara uswahilini. Toka ujio wa hawa wasio waswahili "uswahilini" kumekuwa hakuna amani. Tafadhali sana usitutukane waswahili. Uswahili ni asili yetu na Kiswahili ni lugha yetu na Waswahili ni Wastaarabu to the minute. Kwa uswahili na waswahili nna maanisha wote waishio pwani ya Afrika mashariki na zaidi.
Faizafoxy
hebu nijibu hilo swali...
mashangingi ya NEC CCM,au CHADEMA ndo haya haya tuliopewa tafsiri au??????