The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,845
- Thread starter
- #61
wapo wake za watu mashangingi wengi tu Smile,hasa kwenye haya majiji kama Arusha,Dar na Mwanza...wengine huanza wakiwa wake za watu tayari,na kama ndoa ndo zile za kikristo,au yeye ndo mleta chakula mezani,mlipa ada,mwenye pango ni wanaume wachache wenye guts za kuwaacha...ukizingatia siku hizi wanaume wanaolelewa ni wengi,ndoa za mashangingi zitadumu na kuongezeka.
sasa ushangingi ni nini haswaa?