Mwanamke SHANGINGI...............

Mwanamke SHANGINGI...............

Bbadhi za sifa za sista du

1. Kukataa hana mtoto kama anaye
2. Ku-hang out sehemu za mabrazamen
3. Kushika BB mbele kama askari anavyoshika bunduki tayari kwa ku-attack adui
4. Kuomba wenzie BBM pin bila kuuliza kama wanazo
5. Kujaribu kwenda na fashen za akina Kim kadashan hata kama hazina maana mazingira anayoishi
6. Kuhakikisha ana products feki ila zenye majina makubwa
eg. Pair ya viatu feki nembo Steve maden
pafyum feki jina Dior
pochi feki jina cuggi

7. Kiswangilish ndo mpango mzima
8. Kuwa na wivu na wasichana wenzie hasa wanao-shine zaidi yake
9. Chakula ni baga au chipsi kuku, NO kwa ugali

ntarudi badae


dah....sasa hao no masista duu ambao wanajiita masista duu
wenyewe original hawapendi hiyo label...na hawako fake that much...
 
Rather pretend to be a lady ...with the right manners

mwanamke wa ukweli ataitwa mwanamke au msichana.
hakuna sifa fixed nadhani
but generally msichana anaejipenda/
a sophisticated young lady......with the right manners.
 
Bbadhi za sifa za sista du
6. Kuhakikisha ana products feki ila zenye majina makubwa
eg. Pair ya viatu feki nembo Steve maden
pafyum feki jina Dior
pochi feki jina cuggi

7. Kiswangilish ndo mpango mzima

Hmmm sasa hapo utagusa wengi humu lol. Hasa kwenye Kiswanglish...
 
Sasa wewe mtoto shoo, wewe una mambo ya 'kiswahili' au ya 'kizungu'?

. . .Siku hizi nasikiliza taarab kidogo ili nijue nyimbo nzuri kwaajili ya ntu fidenge. . . USWAHILI.
. . .Nazingatia na kuheshimu muda (most of the time nwy). . . UZUNGU.
. . . Mchokozi kidogo na maneno ya hapa na pale. . . USWAHILI.
. . .Siombi vocha. . . UZUNGU

Niko kote kote.
Wewe je?
 
Bbadhi za sifa za sista du

1. Kukataa hana mtoto kama anaye
2. Ku-hang out sehemu za mabrazamen
3. Kushika BB mbele kama askari anavyoshika bunduki tayari kwa ku-attack adui
4. Kuomba wenzie BBM pin bila kuuliza kama wanazo
5. Kujaribu kwenda na fashen za akina Kim kadashan hata kama hazina maana mazingira anayoishi
6. Kuhakikisha ana products feki ila zenye majina makubwa
eg. Pair ya viatu feki nembo Steve maden
pafyum feki jina Dior
pochi feki jina cuggi

7. Kiswangilish ndo mpango mzima
8. Kuwa na wivu na wasichana wenzie hasa wanao-shine zaidi yake
9. Chakula ni baga au chipsi kuku, NO kwa ugali

ntarudi badae

Duh. . .naona sijafikia kiwango.
Thanks mwaya.
 
Rather pretend to be a lady ...with the right manners

mwanamke wa ukweli ataitwa mwanamke au msichana.

umewahi sikia kitu kinaitwa 'foolish age'
sasa ubitozi na u sista duu huo unaozungumzia umo humo....
 
. . .Siku hizi nasikiliza taarab kidogo ili nijue nyimbo nzuri kwaajili ya ntu fidenge. . . USWAHILI.
. . .Nazingatia na kuheshimu muda (most of the time nwy). . . UZUNGU.
. . . Mchokozi kidogo na maneno ya hapa na pale. . . USWAHILI.
. . .Siombi vocha. . . UZUNGU

Niko kote kote.
Wewe je?

Mimi ni Mnyantuzu pyua chapa ya ng'ombe moja kwa moja toka Ikungulyabashashi.

Nataka niandike rekodi ya kuwa Mnyantuzu wa kwanza kuimba Taarab. Kaa mkao wa kiburudani kwa mix tape yangu iitwayo 'Umenilia hela zangu sasa utanibeba'.
 
Hmmm sasa hapo utagusa wengi humu lol. Hasa kwenye Kiswanglish...
aiseee....
...juzi nilikuwa naangalia mikasi ya salama jay....alikuwepo modo matata flaviana....demu anaboa kichizi yeye kiswangishi mwanzo mwisho...
 
but generally msichana anaejipenda/
a sophisticated young lady......with the right manners.

Duh! Inazidi kua complicated. Kwani uswahilini nako kuna masista du.

Sasa izo sophistications na right manners sijui kama zitamsuit sista du wa Tandale.

Au mkuu unaamini masista du wanapatikana ushuani na uzunguni tu?

Hapa kufikia muafaka wa sifa halisi inakua tabu. Kwani hata kwa ushangingi,imeonekana nao wanapatikana uswahilini na uzunguni (ingawa kuna sifa zingine za kuwadefine).
 
Unajua watu tunaji-associate na makundi for comfort, security, to feel loved, to feel important.

Sijawahi ona mwanamke au msichana mwenye akili zake timamu na anajiamini akijiita sista du.

Anayejiita hivyo anajaribu kujishawishi kuwa ni wa muhimu kama hilo kundi anavyolitafsiri

Huoni wasanii wetu wanaiga mengi kutoka magharibi bila hata kujua maana yake. Mfano kuimba huku umeshika suruali pale mbele kwenye maeneo ya zip.
dah....sasa hao no masista duu ambao wanajiita masista duu
wenyewe original hawapendi hiyo label...na hawako fake that much...
 
aiseee....
...juzi nilikuwa naangalia mikasi ya salama jay....alikuwepo modo matata flaviana....demu anaboa kichizi yeye kiswangishi mwanzo mwisho...

Yaani utadhani hajazaliwa Shinyanga!

Halafu kuna yule Diva...Zamaradi...na yule wa asubuhi wa PB sijui ndo anaitwa Babra.

Kitu nilichogundua ni kwamba hao wengi wapendao kuongea Kiswanglish Kiingereza hawakijui kihivyo. Uwezo wa kuongea Kiingereza tuseme kwa nusu saa nzima bila kuchanganya na Kiswahili na bila kusita sita kutafuta maneno hawana.
 
Any way, mtizamo wangu, haya mambo ya ushangingi, fataki, sista du na mengineyo ni sifa zaidi na sio ishu ya age.

Ndo maana ukikutana na hata mtu wa 45 akafanya jambo fulani watu husema 'huyu naye kama visista du'

mtu wa 45 anaweza bado kuwa na foolish age?

umewahi sikia kitu kinaitwa 'foolish age'
sasa ubitozi na u sista duu huo unaozungumzia umo humo....
 
Back
Top Bottom