Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Ha ha ha,
umeogopa
kama vile mie na definition za ukweli
au nina marking scheme.
Aisee wakati mwingine bora kuonekana mshamba kuliko limbukeni.
Ha ha ha,
umeogopa
kama vile mie na definition za ukweli
au nina marking scheme.
umewahi sikia kitu kinaitwa 'foolish age'
sasa ubitozi na u sista duu huo unaozungumzia umo humo....
hashibi chakula cha kawaida au cha kikubwaMana ya shangingi ni mwanamke ambaye hashibi.
amepiwa akili kweli, huo sio usister doo ni ujinga + ushamba + ulimbukeniHakika. Kuna mtoto wa kike wa ndugu yangu katika hiyo foolish age na usista duu juu,alishawahi kufanya kitu ambacho ninaweza kukiweka katika level ya juu sana ya usista duu + foolish age.
Ilikua hivi:sista huyo alitolewa matanuzi na jamaa ake 1. Sasa wakati wa anarudishwa kwao usiku wa manane,jamaa akauliza,'hivi baba yako yupo wapi mpaka husiwe na uoga kurudi usiku mnene?' Sista duu alijibu kwamba 'baba yupo States'. Alijibu hivyo ilhali akijua baba yake alikua ameshafariki kitambo.
Sasa baada ya jamaa kunisimulia,nilishindwa nimwekee katika level gani ya usista duu au ufoolish age?
Hakika. Kuna mtoto wa kike wa ndugu yangu katika hiyo foolish age na usista duu juu,alishawahi kufanya kitu ambacho ninaweza kukiweka katika level ya juu sana ya usista duu + foolish age.
Ilikua hivi:sista huyo alitolewa matanuzi na jamaa ake 1. Sasa wakati wa anarudishwa kwao usiku wa manane,jamaa akauliza,'hivi baba yako yupo wapi mpaka husiwe na uoga kurudi usiku mnene?' Sista duu alijibu kwamba 'baba yupo States'. Alijibu hivyo ilhali akijua baba yake alikua ameshafariki kitambo.
Sasa baada ya jamaa kunisimulia,nilishindwa nimwekee katika level gani ya usista duu au ufoolish age?
Hapo wewe tumia chemsha bongo utapata jibu...c kila siku umulize mwalimu wako ndo ujue jawabu.hashibi chakula cha kawaida au cha kikubwa
dah halafu hakujua
kuwa alikuwa anajishusha mno kwa hiko kibuzi chake..
amepiwa akili kweli, huo sio usister doo ni ujinga + ushamba + ulimbukeni
mimi husema bora old fashioned kuliko kuwa kituko
You are on the right track. . .
Making a fool of yourself makes it hard for others to respect you.
Umeona ee
ni bora kutowekwa kwenye sista du wala shangingi wala fataki wala nini.
Bora kubaki kama ulivyo inakuwa rahisi zaidi kuishi
Lmao.... Mfano wako Umekaa kishangingi....lol...
Kwa mktadha huu naona Boss una idea na ngingi linavokua.
Mimi sijawahi kua kwenye clique yeyote ambayo mtu anaweza kutumia kunidefine. Sema kuna watu hua wanaconform tu na kila kundi kwasababu individually hawana kitu.Umeona ee
ni bora kutowekwa kwenye sista du wala shangingi wala fataki wala nini.
Bora kubaki kama ulivyo inakuwa rahisi zaidi kuishi
Ana tatizo gani?hiyo busara inakwenda withh age
ukikuta mtu yuko above 30 na bado
unaweza kum group katika makundi ya mabitozi na ma sistadu basi ujue ana tatizo
but ukikuta kijana wa 17 hayupo group lolote basi nae ana tatizo.....
hiyo busara inakwenda withh age
ukikuta mtu yuko above 30 na bado
unaweza kum group katika makundi ya mabitozi na ma sistadu basi ujue ana tatizo
but ukikuta kijana wa 17 hayupo group lolote basi nae ana tatizo.....
Mimi sijawahi kua kwenye clique yeyote ambayo mtu anaweza kutumia kunidefine. Sema kuna watu hua wanaconform tu na kila kundi kwasababu individually hawana kitu.