Mwanamke SHANGINGI...............

Mwanamke SHANGINGI...............

Yaani wewe ndo unaanzisha mada mpya kabisaa
kuna ma sista duu
ma bitozi
msela
wagumu
mshefa
mchizi
jimama
kishtobe
kiportable
shangazi shangazi
mjomba mjomba...
bushoke....
Boss bana. . .
Mi nimetaka kujua wadada ambao wanasifa kinyume na za mashangingi. . . . hao wengine waache.
 
Boss bana. . .
Mi nimetaka kujua wadada ambao wanasifa kinyume na za mashangingi. . . . hao wengine waache.

unaweza sema ni ma sista duu
why?kwa sababu masista duu wana sifa ya maringo na kuchagua watu
while mashangingi wanajichanganya sana...so yes....
 
jamani, mbona mnayasakama maumbo yetu? je JF kuna mashangingi?
Ni kawaida katika mazungumzo kusikia watu wakisema..
'nimepata bonge la 'shangingi'
au mke wa fulani 'shangingi la kufa mtu'
au mitaa ya sinza kuna 'mashangingi ya ukwel'....

na hata wanawake utasikia 'wifi yangu fulani 'shangingi' hasa..
na kadhalika...........

sasa hapa nauliza usahihi wa neno shangingi ni upi?
na mwanamke 'shangingi' ni yupi???

je mwanamke mwembamba anaweza kuwa shangingi??????

au mwanamke mfupi ????

mwanamke mpole sana kama mlokole ??????

je wanawake wanene na wenye maumbo makubwa automatically ni mashangingi????

msichana teenager anaweza kuwa shangingi???

ushangingi nini hasa?umbo au tabia?
tabia zipi?????????

je unaweza kusema natafuta shangingi la kufa mtu????lol

au kumwambia mkeo ..nataka uwe shangingi hivi '??????lol

tazama.. mfano wa magari.....magari mashangingi ni ma land cruiser na ma nissan
yote aghali makubwa na yanatumia pesa nyingi ku ya maintain....
huwezi kuita corola shangingi...lol
 
Nataka kujua upande wa wanawake.
Alafu mbona la wanaume limekaa vizuri? Kuitwa pedeshee wanaona sifa wakati mwingine ukimwita shangingi anaweza akakulisha ngumi.

wao tunawaita mafataki. Kwa wanawake ni masista du au vishtobe.
 
unaweza sema ni ma sista duu
why?kwa sababu masista duu wana sifa ya maringo na kuchagua watu
while mashangingi wanajichanganya sana...so yes....

Ahsante.
Nisaidie sifa nyingine za masista du nifanye tathmini.
 
Hii inanikumbusha 'uswahili'.

Utasikia mtu anasema 'mi sina mambo ya kiswahili kama hayo'.

Sasa 'uswahili' ni nini? Na kinyume cha 'uswahili' ni nini?

Manake unakuta mtu anakaa 'uswahilini' halafu eti anajidai 'hana mambo ya kiswahili'. Hapa naibua hoja nyingine. 'Uswahilini' ndiyo wapi? Na huko 'uswahilini' kukoje? Na kinyume cha 'uswahilini' ndo 'uzunguni'?

Kama kinyume cha 'uswahilini' ni 'uzunguni' je, ni sahihi kusema kinyume cha 'uswahili' ni 'uzungu'?
 
Kwa hiyo mashangingi hayajipendi? They go all the way kujichubua na kujitwika dhahabu in the name of kujipenda ujue!
hakuna sifa fixed nadhani
but generally msichana anaejipenda/
a sophisticated young lady......with the right manners.
 
Uzungu ndio kinyume chake.

wrong...kuna uhindini na wahindi
kuna waarabu na wasomali nao....
kuna wabara pia wanaponda uswahili....its complicated
 
Bbadhi za sifa za sista du

1. Kukataa hana mtoto kama anaye
2. Ku-hang out sehemu za mabrazamen
3. Kushika BB mbele kama askari anavyoshika bunduki tayari kwa ku-attack adui
4. Kuomba wenzie BBM pin bila kuuliza kama wanazo
5. Kujaribu kwenda na fashen za akina Kim kadashan hata kama hazina maana mazingira anayoishi
6. Kuhakikisha ana products feki ila zenye majina makubwa
eg. Pair ya viatu feki nembo Steve maden
pafyum feki jina Dior
pochi feki jina cuggi

7. Kiswangilish ndo mpango mzima
8. Kuwa na wivu na wasichana wenzie hasa wanao-shine zaidi yake
9. Chakula ni baga au chipsi kuku, NO kwa ugali

ntarudi badae
Ahsante.
Nisaidie sifa nyingine za masista du nifanye tathmini.
 
Kwa hiyo mashangingi hayajipendi? They go all the way kujichubua na kujitwika dhahabu in the name of kujipenda ujue!

nilijua tu
ndo maana nikasema with the right manners?get it?
 
wrong...kuna uhindini na wahindi
kuna waarabu na wasomali nao....
kuna wabara pia wanaponda uswahili....its complicated

Aptly put Boss. It's very convoluted. At the end of it, it all boils down to usage and context.
 
Back
Top Bottom