Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,797
Hizo ni sifa za msingi, ila kuna sifa nyingine ya UAMUZI Pascal ameinyaka kwa mbali ila hataki kutuwekea wazi. Tutajitahidi mpaka hiyo sifa iwekwe wazi ili wanachama wengi wa KE wajitokeza kwenye mchakato.Hivi ndani ya chadema kigezo chakumpa mtu ubunge wa viti maalum au cheo chochote ni kua na elimu tu au ni pamoja na mchango wako ulioutoa kwenye chama?