Mwana JF share weakness yako

Mwana JF share weakness yako

Nashindwa kutunza pesa kila nikiipata ingawa huwa ninaipangia mipango mahususi nitafanya hiki na kile pindi nipatapo hela inaanza kuniendesha kwa kuwanunulia marafiki bia,nyama choma hata kununua ngono kwa Madada poa hela ikiisha naanza kujilaumu kwanini sijatimiza inanikera sana hii tabia lakini nashindwa kujitoa kabisa nipatapo hela yoyote so sad.
Fanya haya!! Unahitaji kutambua maamuzi ya fedha ndio yamebeba hatima ya mafanikio yako!!!

KAMA una mtu wa Karibu jaribu kushirikishana nae mipango yako na ukiona ni mtu unaemwamini kwa mf mke au mke waweza kumpa fedha zako akutunzie.

Pia jaribu kupunguza unywaji wa pombe na marafiki wa pombeee!!!

Chanzo kikubwa cha kuyumba kwa bajeti yako kinatokana na maamuzi mabovu na unywaji wa pombee!!

Note:Mafanikio yako ya kesho yanategemea maamuzi yako ya Leo!so heshimu maamuzi yako always!
 
Spending is my biggest weakness. Nina matumizi mabaya sana ya pesa. Mimi ni mtu ninayeshika pesa ya kila siku so huwa sijali sana kuhusu matumizi, coz naona nikiitumia leo, kesho nitapata nyengine either the same amount au zaidi. But namshkuru Mungu nimeshafanya miradi yangu kama nyumba, biashara pesa inazidi kuingia but my spending is very abnormal. Yani huwa nashindwa kujinyima starehe nikiwa na pesa.
Mkuu Heshima yako!! UKIWA na weakness ya hivyo, jaribu kuinvest for the future Kwan WaPo watu wengi wamekua aina yako huwa WANAKUJA kujuta Siku za mbeleni kutokana na ugumu wa maisha!!

Usisahau kesho yako huwa haijulikani, so upatapo pesa Leo jifunze kuweka akina

Mukwano
 
Wenye nguvu siwataki kabisaaaa mana utaridhika mwanzoni Ila nyege zikizidi utanisumbua mwisho utaishia kunisaliti tu
Ninazo ila genye ndio huwa cna niinbox jaman me mwenyewe cpend kweli girl mwenye migenye mshindo
 
I hate sex, I love romance kitu ambacho ni ngumu sana kukipata bila kuishia kwenye sex labda mpaka siku nikibahatika kumpata mwenye upungufu wa nguvu za kiume awe anapiga angalau mara moja au mbili kwa mwezi
LAZIMA utakua na sababu!!! Jaribu kupata counseling na kama ukiona tatizo la kisaikolojia yaweZa kuwa tatizo la kibailojia (maumbile)

Mukwano
 
Nina huruma mpaka Imepitiliza. Hii imeleta madhara kwangu kwani baadhi ya watu huchukulia kama advantage kwao, wanajua siwezi kuchomoa wanapohitaji msaada wangu.

Lakini pamoja na hayo nimekuwa nikiufurahia huu udhaifu niliokuwa nao, naweza sema ni sehemu ya Furaha yangu. Najisikia amani na furaha kuona mtu mwingine kafanikiwa kupitia Mimi. Sipendi kuona mtu anateseka iwe kwa hali yoyote ile, na hata kwa wanyama pia.
Yako ni nzuri hiyo inakusaidia unazidi kuingiza rizki iliyokubwa na Mungu anakuwa na radhi na wewe kwa mengi sabab ya kutoa kwako.
 
Nina huruma mpaka Imepitiliza. Hii imeleta madhara kwangu kwani baadhi ya watu huchukulia kama advantage kwao, wanajua siwezi kuchomoa wanapohitaji msaada wangu.

Lakini pamoja na hayo nimekuwa nikiufurahia huu udhaifu niliokuwa nao, naweza sema ni sehemu ya Furaha yangu. Najisikia amani na furaha kuona mtu mwingine kafanikiwa kupitia Mimi. Sipendi kuona mtu anateseka iwe kwa hali yoyote ile, na hata kwa wanyama pia.

hupo peke yako...
 
Yaani hata sijui nikwambieje,thats my bigest weakness na inanitesa 6yrs in marriage with 2 lovely kids, inanikwaza maana namkwaza mume wangu,i hate sex than anything,napenda rmance
I dont know how to get rid of this
U need counseling mama
 
Hasira, dharau ambazo mwenyewe najshtukia ( sipend but niko ivo
 
Fanya haya!! Unahitaji kutambua maamuzi ya fedha ndio yamebeba hatima ya mafanikio yako!!!

KAMA una mtu wa Karibu jaribu kushirikishana nae mipango yako na ukiona ni mtu unaemwamini kwa mf mke au mke waweza kumpa fedha zako akutunzie.

Pia jaribu kupunguza unywaji wa pombe na marafiki wa pombeee!!!

Chanzo kikubwa cha kuyumba kwa bajeti yako kinatokana na maamuzi mabovu na unywaji wa pombee!!

Note:Mafanikio yako ya kesho yanategemea maamuzi yako ya Leo!so heshimu maamuzi yako always!
Daah!Nashukuru sana maana wife ni mtumiaji mzuri sana wa fedha na anishauri kila siku niache pombe.
 
Nasahau sana nkianza kutafuta kitu hadi natamani kulia.
-Nachukulia mambo kirahisi mno.
-Mwepesi sana kulia.(hii inanitesa sana hasa sisi tuliopo kwenye ndoa.)Mambo madogo madogo tu huwa yananiliza.
 
Sijui kuwa seriouz,yani hata kwenye mambo ya msingi me ntaweka utani kidogo tu,unaweza kunifananisha na JK,Pia ni muongeaji sana.hayo ndo madhaifu yangu makubwa.
 
Back
Top Bottom