Mwana JF share weakness yako

Mwana JF share weakness yako

Huruma na kuwaamini watu
Naifanyia kazi kwa nguvu sana, nisiamini watu ovyo na nisiwe na huruma kabisa
 
Spending is my biggest weakness. Nina matumizi mabaya sana ya pesa. Mimi ni mtu ninayeshika pesa ya kila siku so huwa sijali sana kuhusu matumizi, coz naona nikiitumia leo, kesho nitapata nyengine either the same amount au zaidi. But namshkuru Mungu nimeshafanya miradi yangu kama nyumba, biashara pesa inazidi kuingia but my spending is very abnormal. Yani huwa nashindwa kujinyima starehe nikiwa na pesa.
 
Avatar yako inanipa picha tofaut na ulichosema
Kwenye Avatar anaitwa John Cena kwenye pambano la miereka anakuwa mpole tu akikutana na vichwa vibishi kama Undertaker, Sheamus, Brock lesnar etc
Japo kuwa kwa John cena ushindi daima, anapendwa na mashabiki wengi, nguvu nyingi anakubeba tu hata mzito km mark henry..u can't see me
 
Kwenye Avatar anaitwa John Cena kwenye pambano la miereka anakuwa mpole tu akikutana na vichwa vibishi kama Undertaker, Sheamus, Brock lesnar etc
Japo kuwa kwa John cena ushindi daima, anapendwa na mashabiki wengi, nguvu nyingi anakubeba tu hata mzito km mark henry..u can't see me
hahaha namfaham ndo maana nilikataa
 
Spending is my biggest weakness. Nina matumizi mabaya sana ya pesa. Mimi ni mtu ninayeshika pesa ya kila siku so huwa sijali sana kuhusu matumizi, coz naona nikiitumia leo, kesho nitapata nyengine either the same amount au zaidi. But namshkuru Mungu nimeshafanya miradi yangu kama nyumba, biashara pesa inazidi kuingia but my spending is very abnormal. Yani huwa nashindwa kujinyima starehe nikiwa na pesa.
Mhmmm asee pesa ya kila siku sijui ikoje raha sana sema sijawai kuifanyia maendeleo make uhakika upo wa kupata nyingine kesho,mshahara ndo sichezeagi.
 
Weakness yangu;
Am too sensitive na muda,asyee tuki arrange muda ukaleta sababu za ajabu ajabu...next time ujue huna chako.

Sependi frequently excuses reasons..ebhana kuna watu wanasababu,kila kukicha yeye anampya.
Kwa nchi yetu hii nadhani unakwazika sana. Hasa kama unaishi Dar, mtu anakuambia nipo ubungo tukutane magomeni, kumbe hata mbezi luis hajafika.
 
tukishea hizo weakness zetu utatusaidiaje?
au ndo unaishia kujua
 
Siwez fight for love hata nipende vipi nikigundua vitu visivyoeleweka i let it go, inanitesa sana
 
I hate sex, I love romance kitu ambacho ni ngumu sana kukipata bila kuishia kwenye sex labda mpaka siku nikibahatika kumpata mwenye upungufu wa nguvu za kiume awe anapiga angalau mara moja au mbili kwa mwezi
 
Back
Top Bottom