realleonia
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 366
- 138
Nashindwa kutunza pesa kila nikiipata ingawa huwa ninaipangia mipango mahususi nitafanya hiki na kile pindi nipatapo hela inaanza kuniendesha kwa kuwanunulia marafiki bia,nyama choma hata kununua ngono kwa Madada poa hela ikiisha naanza kujilaumu kwanini sijatimiza inanikera sana hii tabia lakini nashindwa kujitoa kabisa nipatapo hela yoyote so sad.
