Weakness yako ni kusahau,unasahau hadi jina lakoHivi na mimi weakness yangu ni nn vilee??![]()

Wenye nguvu siwataki kabisaaaa mana utaridhika mwanzoni Ila nyege zikizidi utanisumbua mwisho utaishia kunisaliti tuDah me nguvu zakiume ninazo ila napenda sana sana romance kuliko sex so tuwe pear
Mshana ndo mambo gani tena haya jamani
Yaani hata sijui nikwambieje,thats my bigest weakness na inanitesa 6yrs in marriage with 2 lovely kids, inanikwaza maana namkwaza mume wangu,i hate sex than anything,napenda rmanceI hate sex, I love romance kitu ambacho ni ngumu sana kukipata bila kuishia kwenye sex labda mpaka siku nikibahatika kumpata mwenye upungufu wa nguvu za kiume awe anapiga angalau mara moja au mbili kwa mwezi
Hilo kaka ndo maana huwa nasoma vitabu vyenye kunifnya niwe selfish kidogo na rude,nakumbuka nilikaaga na jamaa ghetto tulijuana juu juu tu,kaenda sehem hatacjui,kaleta TV ikakaa hapo ghetto,hata ilikuwa haifanyi kazi,umepita mwaka na jamaa alisha sepa,nashangaa cku hyo polisi wanakuja na mdada ana claim kua mm ndo nilikuwa nampa hifadh huyo jamaa,so niko responsible,tulibishana ila badae nikaona usumbufu maana hata masomo na kazi vikawa vinashindwa kwenda poa,nikalipa laki saba,ila nashukuru wife wangu kauzu balaa,hatakag hizo habari
ht mimi sichomoki kwa type hiyo ni ngumu...binti mweupe mwembamba ndio weakness yangu.
Mueleze mumeo awekeze muda wa ziada kwenye romance ili nawe upate raha.Yaani hata sijui nikwambieje,thats my bigest weakness na inanitesa 6yrs in marriage with 2 lovely kids, inanikwaza maana namkwaza mume wangu,i hate sex than anything,napenda rmance
I dont know how to get rid of this
Njoo nikupatie shati mojaWeakness yangu ingine Shari za drafts nikikutana na mtu kavaa shati la draft Duuuuuh huwa nahisi kuchizi ntamuangalia mpka shingo itasalim amri aitheeee
Masturbartion