Agustino Regnald
JF-Expert Member
- Aug 15, 2016
- 501
- 428
Ni kweli kabisa..Yako ni nzuri hiyo inakusaidia unazidi kuingiza rizki iliyokubwa na Mungu anakuwa na radhi na wewe kwa mengi sabab ya kutoa kwako.
I can imagine...Weakness yangu ni hii...
I love TOO MUCH..
I trust TOO MUCH...
I care TOO MUCH...
and
They hurt me TOO MUCH.

pesa nikiona pesa nashindwa kuchanganua mambo
zawadi yako bibieWelcome then... Teh.I can imagine...
But I won't hurt you mtani![]()
![]()
..and I promise to take care of your little heart, I know I can do that...Welcome then... Teh.

hhahhhhhaahahhaha daaah ww jamaa ww noma sanaWeakness yangu ingine Shari za drafts nikikutana na mtu kavaa shati la draft Duuuuuh huwa nahisi kuchizi ntamuangalia mpka shingo itasalim amri aitheeee
Pamoja na utumishi wangu lakini tabia ya Flirting inanitesa sana,Nimefanya na almost wanawake wote hapa ofisini, wengine wameniwekea bifu, sijui naachaje hii tabia?!!!Flirting...hii tabia nashukuru inaniondoka!!
Haiki webigha ngunga mtani wangu? Teh..and I promise to take care of your little heart, I know I can do that...
..naanza tena kuflirt na mtani wangu...uwiii![]()
![]()
![]()
Hata macho yako yanaonesha..Sijui kuwa seriouz,yani hata kwenye mambo ya msingi me ntaweka utani kidogo tu,unaweza kunifananisha na JK,Pia ni muongeaji sana.hayo ndo madhaifu yangu makubwa.
Mi nilishauriwa kwenda hospital nikaenda daktari akataka nisex nae eti ndo ajue shida ni kuandaliwa au ni kitu kingine nikaamua kuondoka na sitaki kwenda tena hospital natafuta mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume naamini nikimpata tutaendana na hatutasumbuanaYaani hata sijui nikwambieje,thats my bigest weakness na inanitesa 6yrs in marriage with 2 lovely kids, inanikwaza maana namkwaza mume wangu,i hate sex than anything,napenda rmance
I dont know how to get rid of this
Hiyo tabia ikikukaa kwenye ngozi utashindwa kuiacha. The best option ni kupunguza kuongea na wadada, hasa mambo yasiyo na lazima kuongea.Pamoja na utumishi wangu lakini tabia ya Flirting inanitesa sana,Nimefanya na almost wanawake wote hapa ofisini, wengine wameniwekea bifu, sijui naachaje hii tabia?!!!
We shigha du mtani wangu.Haiki webigha ngunga mtani wangu? Teh