afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,303
- 2,728
HaaaaSipendi kula, naenjoy kukaa na njaa
HaaaaSipendi kula, naenjoy kukaa na njaa
Mhmmm asee pesa ya kila siku sijui ikoje raha sana sema sijawai kuifanyia maendeleo make uhakika upo wa kupata nyingine kesho,mshahara ndo sichezeagi.
Angalia usije ukajiangamiza sasahahaha uko kama mie lol huwa ukinikwaza lazma nikwambie na huwa nasahau hapohapo ila pia nina kinyono nukikunyamazia ujue sitakuwa na amani na wewe ...... naweza kukuua walahi ila nashukuru ninavyozidi kukua ndo hali hizi zinapungua
zamani kidogo nilikuwa nikichukia lazma nitapike niliee ama nijikate damu itoke otherwise niitaumwa hata wiki nzima
Kigezo cha upunguf WA nguvu ndo kimenkosesha bahati hiv hivi,ila ucjali,tajtahd Kula chips nyng SI ndio mnasemaga znapunguza nguvu za kiume.I hate sex, I love romance kitu ambacho ni ngumu sana kukipata bila kuishia kwenye sex labda mpaka siku nikibahatika kumpata mwenye upungufu wa nguvu za kiume awe anapiga angalau mara moja au mbili kwa mwezi
Tehetehete we mdauKwenye Avatar anaitwa John Cena kwenye pambano la miereka anakuwa mpole tu akikutana na vichwa vibishi kama Undertaker, Sheamus, Brock lesnar etc![]()
![]()
![]()
Japo kuwa kwa John cena ushindi daima, anapendwa na mashabiki wengi, nguvu nyingi anakubeba tu hata mzito km mark henry..u can't see me![]()
DuhI hate sex, I love romance kitu ambacho ni ngumu sana kukipata bila kuishia kwenye sex labda mpaka siku nikibahatika kumpata mwenye upungufu wa nguvu za kiume awe anapiga angalau mara moja au mbili kwa mwezi
weekness yangu
watoto wakali asee (zipu mbovu)
wewe wa kwanza aisee, wote nasikia mara mkia mara chura nabaki tu nashangaa.Mwanamke flat nyuma na nyonyo la uhakika.
Kaka mkubwa weakness yangu ni hiyo siwezagi kupost picha zake kwenye social network ili wamuoneMkuu umesahau kapicha ka shem ili ela ya soda iende kihalali
tehetehe lakini si wanasemaga ni mchicha mwiba huyu john cena hahaha usijifananishe naye bwana
wewe
Upo sahihi mkuu.Tehetehete we mdau

Hahahaha.. Mpatie koka baridi uyoo.Mi bdo natafuta wa sifa izoKaka mkubwa weakness yangu ni hiyo siwezagi kupost picha zake kwenye social network ili wamuone
Kwa kweli mie nami huwa namwamini mtu mara moja sana lakini kama unavosema wengine ni mashetani kwa kweliupo kama mimi naamini mtu kumbe mengine mashetani kabisa
Dah me nguvu zakiume ninazo ila napenda sana sana romance kuliko sex so tuwe pearI hate sex, I love romance kitu ambacho ni ngumu sana kukipata bila kuishia kwenye sex labda mpaka siku nikibahatika kumpata mwenye upungufu wa nguvu za kiume awe anapiga angalau mara moja au mbili kwa mwezi
hapana aisee ninavyopenda castle lagar siwazi hata siku moja kuwazakujiangamiza sanasana sema nisije nikaozea jelaAngalia usije ukajiangamiza sasa