Kapyungu A
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 3,499
- 3,165
Sasa si wadada wa Watu wanapatashidaFlirting...hii tabia nashukuru inaniondoka!!

Sasa si wadada wa Watu wanapatashidaFlirting...hii tabia nashukuru inaniondoka!!

Mshana yaani ata sielewagi post zako. Hapa nimejitahidi kufikilia sijaelewa kitu. Hebu fafanua kidogo Mkuu hizo picha
Kumbe toto zuri una aibu??.....pole mwaya!Aibu
Nyie nasikia huwa ni hatari chumbaniAibu
Jaribu kufanya make overAibu na kutojiamini hivi vitu vinanitesa sana

Kweli mungu kaumbaMy weakness nina utani uliopitiliza nimewaudhi na kuwakasirisha watu wengi kwaajili ya utani utani wangu wao wanachukulia serious

Mkuu nahis bado ipo...kama bado unaitambua kama weaknes yakoFlirting...hii tabia nashukuru inaniondoka!!

upo kama mimi naamini mtu kumbe mengine mashetani kabisa
hapo kwenye mengine mashetani,mungu alisema shetani ni mmoja wewe umewatoa wapi wote hao?Duh!yoyote ile?...ww kiboko ata kasura uangalii...ila kweli si wanasema nyama huwa ni ile ile.Papuchi
Nimepunguza sana interaction na wadada.Sasa si wadada wa Watu wanapatashida![]()
Taratibu inaondoka mkuu.Mkuu nahis bado ipo...kama bado unaitambua kama weaknes yako![]()
hapo kwenye mengine mashetani,mungu alisema shetani ni mmoja wewe umewatoa wapi wote hao?

Poa poa mkuu,pambana..mwenyewe huwa kananipitia hako katabia muda mwingine,nikutana na vyura vyeny creative artwork....Taratibu inaondoka mkuu.
Napenda sana gizaMshana yaani ata sielewagi post zako. Hapa nimejitahidi kufikilia sijaelewa kitu. Hebu fafanua kidogo Mkuu hizo picha
