Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,786
I know it's not serious... Worry not mtani...and I promise to take care of your little heart, I know I can do that...
..naanza tena kuflirt na mtani wangu...uwiii![]()
![]()
![]()
I know it's not serious... Worry not mtani...and I promise to take care of your little heart, I know I can do that...
..naanza tena kuflirt na mtani wangu...uwiii![]()
![]()
![]()
Hahaha loh huyo dr ni kilaza hakiananiMi nilishauriwa kwenda hospital nikaenda daktari akataka nisex nae eti ndo ajue shida ni kuandaliwa au ni kitu kingine nikaamua kuondoka na sitaki kwenda tena hospital natafuta mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume naamini nikimpata tutaendana na hatutasumbuana
Nyonyo🙂
Ulifanywa nini dada yangu kibaya hivo hadi unaita wanaume mashetani?upo kama mimi naamini mtu kumbe mengine mashetani kabisa
unakeraHasira aisee. Nina hasira kama za mkulu....nafanya maamuzi haraka na siogopi nini kitafuata. Sasa hivi naweza kudhibiti hasira kiasi fulani....kingine mimi ni "selective" sana. Ngumu kunizoea na sipendi kukutana na watu wengi....naona kama energy yangu na zao hazilingani. Bora nisome vitabu a whole day au ni work out lakini si kwenda kukutana na watu. Naona haya yote ni udhaifu kwa kiasi fulani.....lakini si kitu sana nafurahia maisha sana tu.
Umenigeza nnNina hasira
Jeuri
Huruma
Vyote vinanipa majuto daily..... na
pia nina roho ngumu ya kutokusamehe haraka yaani nina kinyongo sana
kwanza nitakasirika nisipokwambia nakuwekea kinyongo na kisasi.......heh
tangu lini uwazi na ukweli unakera?unakera

me mwenyew sijaelewaMshana yaani ata sielewagi post zako. Hapa nimejitahidi kufikilia sijaelewa kitu. Hebu fafanua kidogo Mkuu hizo picha