Mwana JF share weakness yako

Mwana JF share weakness yako

Weakness yangu ni kutokuwa tayari kushauriwa.Napenda kufanya maamuzi peke yangu bila kushurutishwa.Mtu akijaribu kunishauri sii jambo la ajabu kuishia kwenye ugomvi na misuto.
 
ethio-girl3.jpg

My weakness.
 
kupenda kukaa mwenyewe, hata nibanwe vipi ntachomoka nikakae alone room.

sina cha maana zaid ya kucheza game na kuangalia muvi

pia napenda ngono balaa mpaka najishangaa.
 
Hasira aisee. Nina hasira kama za mkulu....nafanya maamuzi haraka na siogopi nini kitafuata. Sasa hivi naweza kudhibiti hasira kiasi fulani....kingine mimi ni "selective" sana. Ngumu kunizoea na sipendi kukutana na watu wengi....naona kama energy yangu na zao hazilingani. Bora nisome vitabu a whole day au ni work out lakini si kwenda kukutana na watu. Naona haya yote ni udhaifu kwa kiasi fulani.....lakini si kitu sana nafurahia maisha sana tu.
 
Mi nilishauriwa kwenda hospital nikaenda daktari akataka nisex nae eti ndo ajue shida ni kuandaliwa au ni kitu kingine nikaamua kuondoka na sitaki kwenda tena hospital natafuta mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume naamini nikimpata tutaendana na hatutasumbuana
Hahaha loh huyo dr ni kilaza hakianani
 
upo kama mimi naamini mtu kumbe mengine mashetani kabisa
Ulifanywa nini dada yangu kibaya hivo hadi unaita wanaume mashetani?
Mimi pia nimewahi kufikian hiyo stage kuwaita wanawake mashetanu ila sasa hasira zimeisha.
 
Sina bahati ya wanawake warembo wenye chura kubwa.

Pia mimi ni mtu ambaye huwa nina hasira za karibu kupitiliza, kuna kipindi demu wangu aliniambia anaipenda nikamuacha mazima, mwingine alinichapa kibao cha sapraiz chumbani nlitaka nimwamdhibu ila nilimwacha.
Mwingine alijamba hamu ya ngono ikaishia hapo hapon nikaondoka zangu.\
Msichana akinisemesha mtaana kama sina mood ya ngono simjibu.
 
Hasira aisee. Nina hasira kama za mkulu....nafanya maamuzi haraka na siogopi nini kitafuata. Sasa hivi naweza kudhibiti hasira kiasi fulani....kingine mimi ni "selective" sana. Ngumu kunizoea na sipendi kukutana na watu wengi....naona kama energy yangu na zao hazilingani. Bora nisome vitabu a whole day au ni work out lakini si kwenda kukutana na watu. Naona haya yote ni udhaifu kwa kiasi fulani.....lakini si kitu sana nafurahia maisha sana tu.
unakera
 
Back
Top Bottom