Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,172
- 26,906
Aisee mi churaaa tu yaani hata ukiwa mbaya kama bi kidude Ila una chura nimakuhonga verosa
Duh! Pole.Weaknesse yangu ni usingizi wa usiku nikishalala yaani ukigonga mlango nikakusikia mshukulu Mungu
Pre~ejaculation!Dah! Mi Ni Mwepesi Wa Kupizi Ndani Ya Sekunde 2 Wazungu Wanakimbizana Kufuata Kibumbu
Huyo daktar kiboko! Hana tofauti na witch doctor.Mi nilishauriwa kwenda hospital nikaenda daktari akataka nisex nae eti ndo ajue shida ni kuandaliwa au ni kitu kingine nikaamua kuondoka na sitaki kwenda tena hospital natafuta mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume naamini nikimpata tutaendana na hatutasumbuana
Jirekebishe.Silipagi madeni
Tupo wengi kumbe, jioni hii kuna mtu nilimtumia zawadi nzuuuri, najua amenipigia simu kunishukuru ila sikuwa najisikia kupokea simu yake nimeipotezeasipendi kupigia watu simu na sipendi kupigiwa simu! sijui kwa nini ndugu , marafiki na wafanyakazi wenzangu kila siku wananisema kwa tabia yangu!


Yesuu!Nasimamamisha hata nikiona kuku wanabakana....yan hata nzi mshipa unajaaa
Wewe sasaaa huo wako jiangalie kiganja kitanasa mimba hichoMasturbartion




Hata mm aisee.nachomshukuru mungu mm ni short temptedMy great weaknes yaan siwez mwambia mtu direct kama ameniudh.... aisee hii inanitesa sana cos nabak naumia mwenyew pretending that everythng is fine
Mshana yaani ata sielewagi post zako. Hapa nimejitahidi kufikilia sijaelewa kitu. Hebu fafanua kidogo Mkuu hizo picha
mimi nimemuelewa kidogo... Weakness zake ni hirizi, Dark World na bangi....

Sipokei cm.kwenye sim nikaongea zaid ya dk 1sipendi kabisaa hasa niwe kwenye daladalasipendi kupigia watu simu na sipendi kupigiwa simu! sijui kwa nini ndugu , marafiki na wafanyakazi wenzangu kila siku wananisema kwa tabia yangu!
Kitu ganiHuwa siwezagi kumnyima ntu kitu kama ninacho....najitahidi kujizuia lakini wapi
HeeeNapenda sana ndogo!
Hahahaha nina mashaka1.nikiona mtu analia na mm machozi huwa yananitoka,
2.huwa nashindwa kabisa kumdanganya mschana,