Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
UpiMe pia huo ndo udhaifu wangu mkubwa,
UpiMe pia huo ndo udhaifu wangu mkubwa,
HahahahMipango mingi na mizuri lakini mzito kutekeleza sometimes nahisi kama nahitaji maombi
Bubu au?huwezi kubishanaHuruma
Siwezi kuongea
Mi naona mapungufu ya karibu kila kitu.Bwana Yesu asifiwe wapendwa,
Kama tunavyojua kwamba kila binadamu anaeishi chini ya jua ana mapungufu (No one is perfect under the sun). Mapungufu yetu au weakness zetu zinatusababishia hasara nyingi kuliko faida
Kwa upande wangu weakness inayonitesa zaidi ni Haya. Imenikosesha marafiki na fursa mbalimbali za maendeleo.
Mwana JF share weakness yako na madhara yake.
Upo kama mie piaKupenda sana ambako kunanitesa mpaka nakua mtumwa wa mapenzi, jeuri hasa wa kwa wanaume wanaodhani hela inamfanya mwanamke akunyenyekee, kusema ya moyoni hasa kama mtu amenikwaza sinaga kumkawiza namwambia hapo hapo umenifanyia hivi sijapenda ukinuna shauri ako.
weekness yangu
watoto wakali asee (zipu mbovu)

Bubu au?huwezi kubishana
ahahaha vipi mkuu
Kubishana mkuu
Wacha kiburi na ujeuriKujishusha ata kama nimekosea vipi Siwezi kujishusha kwa mtu
Usicheke mkuu hii kitu ni siriaz,kukiwa na dili la pesa napanga mipango yangu vizuri shida nikija kuikamata hio pesa mipango yote inayeyukaHahahah
i also share these traits but shida inakuja siwez sex na mwanamke nisiempenda toka moyoni. Sinaga tamaa za kijinga hivyo u player kwangu ni changamoto sana. Yakinizidiaga nachepuka kwa shida ila at the end na regret mno why did i have to do it man. I wish they knew wapo na real G nisiependa drama.Weakness yangu ni hii...
I love TOO MUCH..
I trust TOO MUCH...
I care TOO MUCH...
and
They hurt me TOO MUCH.