Kwanini umecopy weakness yangu??Churaaa!
Kwanini umecopy weakness yangu??Churaaa!
Nina huruma mpaka Imepitiliza. Hii imeleta madhara kwangu kwani baadhi ya watu huchukulia kama advantage kwao, wanajua siwezi kuchomoa wanapohitaji msaada wangu.
Lakini pamoja na hayo nimekuwa nikiufurahia huu udhaifu niliokuwa nao, naweza sema ni sehemu ya Furaha yangu. Najisikia amani na furaha kuona mtu mwingine kafanikiwa kupitia Mimi. Sipendi kuona mtu anateseka iwe kwa hali yoyote ile, na hata kwa wanyama pia.














Naweza kuflirt na wewe mwalimu hadi nikavua zako za ndani, shaurilo!!Naomba iishie kwangu

Ukizivua mi nakuangalia tu make ni dhambi zako hizo mi hazinihusuNaweza kuflirt na wewe mwalimu hadi nikavua zako za ndani, shaurilo!!![]()
![]()
Hahahaha dah..yani we mdada!!Ukizivua mi nakuangalia tu make ni dhambi zako hizo mi hazinihusu
Nna shida na weakness yako 😀Hahahaha dah..yani we mdada!!
Ngoja nije chumba cha siri nianze kazi huko!!Nna shida na weakness yako 😀
MmmmmhhhhhhhSpending is my biggest weakness. Nina matumizi mabaya sana ya pesa. Mimi ni mtu ninayeshika pesa ya kila siku so huwa sijali sana kuhusu matumizi, coz naona nikiitumia leo, kesho nitapata nyengine either the same amount au zaidi. But namshkuru Mungu nimeshafanya miradi yangu kama nyumba, biashara pesa inazidi kuingia but my spending is very abnormal. Yani huwa nashindwa kujinyima starehe nikiwa na pesa.
Nakutumia GB 1 za kufanyia weaknessNgoja nije chumba cha siri nianze kazi huko!!
Pole sana nahisi utakuwa unakosa maandalizi ya kutosha kbl ya dushe, hlf pengine ufundi na wenyewe hauko poa kwa mr. nimewahi kukutana na hii scenario kama yako somewhere.Yaani hata sijui nikwambieje,thats my bigest weakness na inanitesa 6yrs in marriage with 2 lovely kids, inanikwaza maana namkwaza mume wangu,i hate sex than anything,napenda rmance
I dont know how to get rid of this
Hebu nihurumie basi na mimi jmnWeakness yangu nna huruma sana mpaka huwa watu wana-take advantage.
Twafanana!!!!Nina huruma mpaka Imepitiliza. Hii imeleta madhara kwangu kwani baadhi ya watu huchukulia kama advantage kwao, wanajua siwezi kuchomoa wanapohitaji msaada wangu.
Lakini pamoja na hayo nimekuwa nikiufurahia huu udhaifu niliokuwa nao, naweza sema ni sehemu ya Furaha yangu. Najisikia amani na furaha kuona mtu mwingine kafanikiwa kupitia Mimi. Sipendi kuona mtu anateseka iwe kwa hali yoyote ile, na hata kwa wanyama pia.
Flirting haziishii kwenye "bedtime stories"? Teh teh!Intelligent and successful Men..najikuta naflirt bila kupenda...naenjoy sanaa mtu akiwa kipangaa af maisha Mungu kamjalia yamemnyokea
Uwe unaleta nakupangia...Spending is my biggest weakness. Nina matumizi mabaya sana ya pesa. Mimi ni mtu ninayeshika pesa ya kila siku so huwa sijali sana kuhusu matumizi, coz naona nikiitumia leo, kesho nitapata nyengine either the same amount au zaidi. But namshkuru Mungu nimeshafanya miradi yangu kama nyumba, biashara pesa inazidi kuingia but my spending is very abnormal. Yani huwa nashindwa kujinyima starehe nikiwa na pesa.