Tuko wengi mkuu,hadi kuna kipindi huwa najitabiria kua kifo changu kitakuja kutokana na wema,Mungu aepushie mbaliNina huruma mpaka Imepitiliza. Hii imeleta madhara kwangu kwani baadhi ya watu huchukulia kama advantage kwao, wanajua siwezi kuchomoa wanapohitaji msaada wangu.
Lakini pamoja na hayo nimekuwa nikiufurahia huu udhaifu niliokuwa nao, naweza sema ni sehemu ya Furaha yangu. Najisikia amani na furaha kuona mtu mwingine kafanikiwa kupitia Mimi. Sipendi kuona mtu anateseka iwe kwa hali yoyote ile, na hata kwa wanyama pia.
Jitahidi kuwa na mipaka, huwezi kuishi maisha ya kuwapendeza watu dailyTuko wengi mkuu,hadi kuna kipindi huwa najitabiria kua kifo changu kitakuja kutokana na wema,Mungu aepushie mbali
tehetehe lakini si wanasemaga ni mchicha mwiba huyu john cena hahaha usijifananishe naye bwanaMm ndo John Cena wa Jf![]()
![]()
![]()
![]()
Weakness yangu;
Am too sensitive na muda,asyee tuki arrange muda ukaleta sababu za ajabu ajabu...next time ujue huna chako.
Sependi frequently excuses reasons..ebhana kuna watu wanasababu,kila kukicha yeye anampya.
Hilo kaka ndo maana huwa nasoma vitabu vyenye kunifnya niwe selfish kidogo na rude,nakumbuka nilikaaga na jamaa ghetto tulijuana juu juu tu,kaenda sehem hatacjui,kaleta TV ikakaa hapo ghetto,hata ilikuwa haifanyi kazi,umepita mwaka na jamaa alisha sepa,nashangaa cku hyo polisi wanakuja na mdada ana claim kua mm ndo nilikuwa nampa hifadh huyo jamaa,so niko responsible,tulibishana ila badae nikaona usumbufu maana hata masomo na kazi vikawa vinashindwa kwenda poa,nikalipa laki saba,ila nashukuru wife wangu kauzu balaa,hatakag hizo habariJitahidi kuwa na mipaka, huwezi kuishi maisha ya kuwapendeza watu daily
Weaknesse yangu ni usingizi wa usiku nikishalala yaani ukigonga mlango nikakusikia mshukulu MunguBwana yesu asifiwe wapendwa
Kama tunavyojua kwamba kila binadamu anaeishi chini ya jua ana mapungufu(No one is perfect under the sun).Mapungufu yetu au weakness zetu zinatusababishia hasara nyingi kuliko faida
Kwa upande wangu weakness inayonitesa zaidi ni Haya.Imenikosesha marafiki na fursa mbalimbali za maendeleo
Mwana JF share weakness yako na madhara yake
Baby wangu ana sifa hizi ulizosema najua akiagiza atalipia mwenyeweBlak,kakata nywele,mikono minene kdogo,nyuma chura kiasi.Aisee mwny sifa izi popote ulipo kunywa soda napta kulipA
Ahahahahahahah!! Same hereFlirting...hii tabia nashukuru inaniondoka!!
Mkuu umesahau kapicha ka shem ili ela ya soda iende kihalaliBaby wangu ana sifa hizi ulizosema najua akiagiza atalipia mwenyewe
StrengthWeakness yangu;
Am too sensitive na muda,asyee tuki arrange muda ukaleta sababu za ajabu ajabu...next time ujue huna chako.
Sependi frequently excuses reasons..ebhana kuna watu wanasababu,kila kukicha yeye anampya.
Jina lake linasadifu yaliyomo. SoulProviderNakupenda.... Nihurumie na mimi
Bwana yesu asifiwe wapendwa
Kama tunavyojua kwamba kila binadamu anaeishi chini ya jua ana mapungufu(No one is perfect under the sun).Mapungufu yetu au weakness zetu zinatusababishia hasara nyingi kuliko faida
Kwa upande wangu weakness inayonitesa zaidi ni Haya.Imenikosesha marafiki na fursa mbalimbali za maendeleo
Mwana JF share weakness yako na madhara yake
