Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,053
Wauze halafu yeye namwanaye wakaishi ikulu?Nyumba wamejenga wote Ilitakiwa wauza wagawane ndo Sheria ya Ndoa inasema hivyo, Japo Mgawanyo huo Ungezingatia Mchango wa kila mmoja na Mume hapo angepata Kiasi kidogo maana mchango wake yeye sio fedha ila ni Jitihada tu bas
Note: Sheria ya Ndoa ndio inasema hivyo na si maneno ya Mtaani
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app


