Mwalimu mwenzangu kafariki kisa ndoa

Mwalimu mwenzangu kafariki kisa ndoa

Nyumba wamejenga wote Ilitakiwa wauza wagawane ndo Sheria ya Ndoa inasema hivyo, Japo Mgawanyo huo Ungezingatia Mchango wa kila mmoja na Mume hapo angepata Kiasi kidogo maana mchango wake yeye sio fedha ila ni Jitihada tu bas

Note: Sheria ya Ndoa ndio inasema hivyo na si maneno ya Mtaani

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Wauze halafu yeye namwanaye wakaishi ikulu?
 
Humu sijui kwa nini watu wakisikia mwanamke anapenda pesa wanakuwa triggered kweli kweli na wanakuwa wakali kama pili pili.

Sijui nani aliyetudanganya wanaume kwamba mapenzi ya kweli lazima yawe struggle love.

Kuna kitu hakipo sawa, btw poleni wafiwa.
Hivi siku ukigundua mwanamke uliye nae amekupendea pesa utafanyaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina uhakika, ila mimi ndo mke ninayeishi naye kwa miaka 15 sasa. Namkubali yeye na watoto wake. Ananinkubali mimj na wanangu. Kifupi sijaona tatizo la single mother, bali nimeona matatizo ya tabia za baadhi ya wanawake, wawe single mother au vigori, ni shida tupu.

Jirani yangu mwanamke alimwoa kigori. Kila siku analialia. Tabia mbovu, hadi michepuko inaingizwa chumbani kwa mume anapokuwa safari. Narudia alimwoa kigori tena form two tu.

Kifupi, tatizo ni tabia za binadamu siyo kuzalia home au ubikira. No! no! no!
Wenzio wanasema ukioa bikira hata akichepuka haiumi sana kama kuoa ambaye si bikira hapo haaminiwi kabisa anaonekana ni mdangaji tu.
 
Wanaume mmebaki wachache. Mnalalamika sana, nani kwani kuvumilia shida ndo kuwa wife material?
Eti wanaume wengi si mnapenda wanawake wenye matako makubwa? Sasa kama ndivyo kwa nini na sisi tusiwe na hitaji letu?

Kwakweli mimi pesa najua kuzitafuta najua zinapatikana kwa shida ila mwanaume ambae hana vijisent hata kama ni vidogo yaan ana 1200 tu atanisamehe.
Imebidi nicheke tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina uhakika, ila mimi ndo mke ninayeishi naye kwa miaka 15 sasa. Namkubali yeye na watoto wake. Ananinkubali mimj na wanangu. Kifupi sijaona tatizo la single mother, bali nimeona matatizo ya tabia za baadhi ya wanawake, wawe single mother au vigori, ni shida tupu.

Jirani yangu mwanamke alimwoa kigori. Kila siku analialia. Tabia mbovu, hadi michepuko inaingizwa chumbani kwa mume anapokuwa safari. Narudia alimwoa kigori tena form two tu.

Kifupi, tatizo ni tabia za binadamu siyo kuzalia home au ubikira. No! no! no!
Kweli kuwa single mother hakumfanyi.mwanamke kuonekana alikua malaya hapana aisee hii dhana tuiondoe. Malezi yaliyojenga tabia ndivyo vyajuangalia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walimu wakitongozwa na walimu wenzao wanaona hasara. Wanavunga hadi umri unapita au kuzalishwa na wahuni. Mwisho wa siku wanaangukia kwenye mikono ya haohao wahuni.

Wengi wao sura mbaya ila maringo sana. Wajibebe
Sura mbaya tena? Si mnaoa tabia mambo ya sura baadaye!
 
Acha kutusingizia Wasukuma yaan Msukuma aue kisa Mapenzi? Hapana bana. Acha uongo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom