Mwalimu mwenzangu kafariki kisa ndoa

Mwalimu mwenzangu kafariki kisa ndoa

Sad, alikuwa single mom....watu wakachonga sana. Huolewi coz ni Malaya, kama si Malaya mbona umezalishwa hujaolewa...na blah blah kibao.

Akaona isiwe shida kwa kuwa natongozwa ngoja niolewe na yeyote yule ...akajivutia msukuma ambaye si mtumishi bali mkulima.Kumbe msukuma nae kaenda kimalengo. Mwanamke kanunua uwanja kaanza kujenga bwana kaz yake kusimamia mama yupo job. Mara msukuma kaanza mbwembwe, hamtaki mtoto aliyemkuta, anamhasa mkewe ampeleke kwa baba ake. Mke alishatelekezwa muda huyo baba anamtoa wapi.

Mwalimu ikabidi amwambie bas tuachane, mwanaume kamwambia ukitaka tuachane bas tuuze nyumba tugawane pesa ndo tuachane. Mwanamke kasema siuzi coz ni yangu na nimejenga kwa ajili ya watoto. Ugomvi huo umesababisha mwanaume ajifanye ameaga anaondoka kumbe kaenda kunoa panga kitaa. Ndo ivo mwanamke kaoga, ainame apakae mafuta kakatwakatwa kama mnyama.

Sad,sad,sad....yaan kumbe jamaa nae kanywa sumu now tumepata taarifa nae kakata moto huko hospital. SINGLE MOMZ MSIFORCIWE....MABACHERORS MSILAZIMISHE NDOA. MARRIAGE IS NOT EVERYTHING! Inyala mbeya.
Ebwaaana eh...ukianza kuishi kwa kuwasikiliza binadamu wanataka nini kwako hiki ndo chanzo cha kupoteza network...

Mambo ya kufosi king daah
 
Imagine mtu kaoa demu haliwezi mpenda kama hana hela inamaana mme wake akifulia tu atakimbia
Si bora uwe mlevi tu coz huyo mwanamke ni kama pombe tu ukiwa na hela unapata usipokua nayo hupati.

Labda bidada alimaanisha mwanaume mchakarikaji na mwenye uwezo. Ila kama alimaanisha hivi tunavyotafsiri basi hana tofauti na mwanamke anaejiuza.
 
Pole kwa mwalimu aliruhusu mihemko ya wapuuzi kuhusu ndoa na yeye akaolewa ili kuridhisha jamii Matokeo yakawa hayo. Daily huwa nawaasa wanawake wenzangu ukiona umemzidi mwanaume kipato au elimu na yeye hana vitu vingi mtakuja kusumbuana na inferiority complex itamtesa then akutese kihisia, ila wanawake huwa wanafikiria kumlea mwanaume kazi ndogo.
R.i.p teacher
Haya yalimkuta ndugu yangu
 
Mimi kitu sitofanya hapa duniani, ni kumpenda mwanaume ambae hana pesa.yaani mimi lazima niwe na mwanaume ambae pesa sio tabu kwake, tutakwazana mengine ila sio pesa

mic check one two one two
 
Pole kwa mwalimu aliruhusu mihemko ya wapuuzi kuhusu ndoa na yeye akaolewa ili kuridhisha jamii Matokeo yakawa hayo. Daily huwa nawaasa wanawake wenzangu ukiona umemzidi mwanaume kipato au elimu na yeye hana vitu vingi mtakuja kusumbuana na inferiority complex itamtesa then akutese kihisia, ila wanawake huwa wanafikiria kumlea mwanaume kazi ndogo.
R.i.p teacher
Kweli kabisa
 
Mimi kitu sitofanya hapa duniani, ni kumpenda mwanaume ambae hana pesa.yaani mimi lazima niwe na mwanaume ambae pesa sio tabu kwake, tutakwazana mengine ila sio pesa

Nasi tunasema tunataka wanawake kama wewe wenye kupenda pesa zetu so ni lazima tufukue mtaro kwa sana tu minimum mara 3 kutwa,ni nipe nikupe.
 
Humu sijui kwa nini watu wakisikia mwanamke anapenda pesa wanakuwa triggered kweli kweli na wanakuwa wakali kama pili pili.

Sijui nani aliyetudanganya wanaume kwamba mapenzi ya kweli lazima yawe struggle love.

Kuna kitu hakipo sawa, btw poleni wafiwa.


Njaa kali
 
Wanawake wana changamoto sana, kwa single mother kupata mwanamme atakayekubali watoto wa kambo si rahisi.....maana mtu unajiuliza, nilee watoto wa huyu mama aliyezaa na vibaka alafu mwisho wa siku wananigeuka? Mtu unachapa tu single mother kisha unasepa. Si rahisi kukaa ama kuishi na watoto wa vibaka.
Duh....
Kwangu ni tofauti. Sina wivu wa kijinga to that level aisee. Hata nikimkuta anao 10 tena ntawaonesha upendo wa juu Sana...
 
Mimi kitu sitofanya hapa duniani, ni kumpenda mwanaume ambae hana pesa.yaani mimi lazima niwe na mwanaume ambae pesa sio tabu kwake, tutakwazana mengine ila sio pesa
Muombe Mungu akupatie mtu sahihi maana ukiweka vigezo vya pesa yanaweza yakakukuta ya kuchomwa na magunia ya mkaa. Au kupigwa chuma kichwani moja tu paah by by. Hivyo muombe Mungu akupe aliye sahihi mtakae vumiliana shida na raha pesa intafutwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom