Mimi kitu sitofanya hapa duniani, ni kumpenda mwanaume ambae hana pesa.yaani mimi lazima niwe na mwanaume ambae pesa sio tabu kwake, tutakwazana mengine ila sio pesa
Wenye pesa mbona wapo jamani wengi hivi jamani?Kilomita ndo zina kusoma kama dashboard ya gari.unataka uzeeke na sukari yako ukisubiri mwenye pesa
Naonaga wanawake wanasema wasukuma wanajua kucare...shetani ashindwe inawezekana labda huyo mwanamke alimjibu kwa dharau na shombo.Sad,alikuwa single mom....watu wakachonga sana.Huolewi coz ni Malaya,kama si Malaya mbona umezalishwa hujaolewa...na blah blah kibao.
Sema unapenda pesa tu siyo mwanaume. Maelezo mengi unatuchosha kusoma.Mimi kitu sitofanya hapa duniani, ni kumpenda mwanaume ambae hana pesa.yaani mimi lazima niwe na mwanaume ambae pesa sio tabu kwake, tutakwazana mengine ila sio pesa
Huyu sukari hana, kabaki na mkebe tu aliotunzia sukari.Kilomita ndo zina kusoma kama dashboard ya gari.unataka uzeeke na sukari yako ukisubiri mwenye pesa


Mtoa manda sounds kama mpigwaji nae.Sad,alikuwa single mom....watu wakachonga sana.Huolewi coz ni Malaya,kama si Malaya mbona umezalishwa hujaolewa...na blah blah kibao.
Akaona isiwe shida kwa kuwa natongozwa ngoja niolewe na yeyote yule ...akajivutia msukuma ambaye si mtumishi bali mkulima.Kumbe msukuma nae =
Nyie ndo mnaliwa na kubwagwa na wenye hela maana unajionesha kabisa umefata hela.Mimi kitu sitofanya hapa duniani, ni kumpenda mwanaume ambae hana pesa.yaani mimi lazima niwe na mwanaume ambae pesa sio tabu kwake, tutakwazana mengine ila sio pesa
Je ukimzidi mwanamke? Use common sense.Pole kwa mwalimu aliruhusu mihemko ya wapuuzi kuhusu ndoa na yeye akaolewa ili kuridhisha jamii Matokeo yakawa hayo. Daily huwa nawaasa wanawake wenzangu ukiona umemzidi mwanaume kipato au elimu na yeye hana vitu vingi mtakuja kusumbuana na inferiority complex itamtesa then akutese kihisia, ila wanawake huwa wanafikiria kumlea mwanaume kazi ndogo.
R.i.p teacher
Wape tu wapasianeWenye pesa mbona wapo jamani wengi hivi jamani?
Wanawake wana changamoto sana, kwa single mother kupata mwanamme atakayekubali watoto wa kambo si rahisi.....maana mtu unajiuliza, nilee watoto wa huyu mama aliyezaa na vibaka alafu mwisho wa siku wananigeuka? Mtu unachapa tu single mother kisha unasepa. Si rahisi kukaa ama kuishi na watoto wa vibaka.Sad,alikuwa single mom....watu wakachonga sana.Huolewi coz ni Malaya,kama si Malaya mbona umezalishwa hujaolewa...na blah blah kibao.
Akaona isiwe shida kwa kuwa natongozwa ngoja niolewe na yeyote yule ...akajivutia msukuma ambaye si mtumishi bali mkulima.Kumbe msukuma nae
Kwa kweliWanawake wana changamoto sana, kwa single mother kupata mwanamme atakayekubali watoto wa kambo si rahisi.....maana mtu unajiuliza, nilee watoto wa huyu mama aliyezaa na vibaka alafu mwisho wa siku wananigeuka? Mtu unachapa tu single mother kisha unasepa. Si rahisi kukaa ama kuishi na watoto wa vibaka.