Kichekesho ni kwamba tulifikiria kutaifisha mitambo ya Dowans (as an option) bila kufahamu kwamba mitambo hiyo imewekwa kama dhamana kwa mikopo waliyochota benki..Fedha ambazo haijulikani zimetumika au zimekwenda wapi..
Sasa wanabodi pigeni mahesabu kwanza hela wanazochota toka kwetu kisha jumlisha na zile walizochota benki......
Ehhh Mungu weee tumeliwa vibaya jamani!
Bob yaani nimecheka saaaaana leo....na afadhali kesho ni Ijumaa......hivi unakumbuka kuna MEMBER mmoja hapa JF alishawahi kutoa mfano wa biashara ya "Nyani"........yaani sasa naona tutabaki na manyani mikononi.........na tatizo la nyani kulamahindi linabaki pale pale..........na pesa zimeshaishia.........lol