Mwali: Mmiliki wa DOWANS ni huyu!

Mwali: Mmiliki wa DOWANS ni huyu!

Status
Not open for further replies.
c dowans 2, anamiliki makampuni kibao na kufanya biashara zake bila kulipa kodi, pia huyo nd'o remote ya jk hawezi kufanya kitu ambacho rostam hataki kifanyike kwani ccm yote iko mikononi mwa rostam

Kinachowasumbua hapa ni umasikini wenu ambao umepeleke hata akili kuchakachachulika.....Rostam na dowans hawana kosa lolote na haya nitayaeleza kama ifuatavyo:
1.Rostam kumiliki au kutomiliki dowans sio kosa kisheria wala kimaadili.Anayo haki ya kufanya biashara na hata kuficha mali zake
2.Dowans walitakiwa kuleta umeme hata kama kampuni haikusajiliwa kama ambavyo mnajaribu kudai humu ndani bado iliweza kutekeleza mkataba na kuzalisha umeme.
3.Shida yetu ilikuwa ni umeme na mpaka sasa bado tunayo kwahiyo tuangalie je dowans hawakuweza kutatua na kufunga mashine kw ajili ya umeme?
4.Dowans walikuwa tayari kupata hasara kwa kuuza kwa bei ya chini mitambo yao kwa serikali lakini Mwak alisema watanzania wako tayari kukaa gizani kuliko kutumia mitambo ya dowans.......hahahahah ujinga kazi.
5.Ni wangapi humu wanajua kuwa tanzania ina mikataba na makampuni kama aggreco,songas na IPTL ya kuzalisha umeme.....na kati ya makampuni yote dowans ndio mkataba wanalipwa pesa kidogo kwa megawatts. Kama kweli tunauchungu na utanzania na sio rostam chuki binafsi kwa nini tunakubali kulipa megawatts za chini IPTL kwa malipo ya million mianane kwa siku na kuacha megawatts nyingi zaidi kwa shilling million mia moja na tatu kwa siku eti kwa kuwa ni kampuni ya rostam. hahahahaha
6.Wangapi wanajua kuwa katika malipo yanayopaswa kulipwa kwa dowans, asilimia 47 ya malipo haya ni umeme aambao tanesco iliutumia na bado hawakulipa mpaka mkataba unavunjwa.
7.Wangapi wanajua kuwa wakati tanesco ikinunua umeme kwa malipo ya shillingi milion 103 kwa siku yenyewe inatuuzia wananchi umeme huo huo kwa shillingi million mia sita kwa siku.
HUMU TUMEJAA WIVU TU KWA ROSTAM NA SIO KWELI TUNATAKA KUPAMBANA NA UFISADI NA NDIO MAANA HATULALAMIKI KULIPA MAFUTA YA MILLIONI MIA SITA KWA SIKU NA KUACHA UMEME WA MILLIONI 103 KWA SIKU......UJINGA NI MZIGO MKUBWA KULIKO UNAVYOZANIA.
 
Sisi tulioko kwenye Organisations kama vile vyuo vikuu na sekondari tuilazimishe serikali imfukuze Rostam bungeni na afunguliwe mashitaka wakiwemo wote waliofanya uhaini huo.
 
natamani tungekua hata na robo ya ujasiri wa watunisia au mafarao
 
Ndio pia mmiliki halali wa nchi inayoitwa Tanzania mkuu!..
Katuweka wote mfukoni mwake, ndio maana tukisema tuandamane wengi wetu tunakataa!

Rais ndo kawekwa mfukoni,mimi hapana kwa kweli...
 
kinachowasumbua hapa ni umasikini wenu ambao umepeleke hata akili kuchakachachulika.....rostam na dowans hawana kosa lolote na haya nitayaeleza kama ifuatavyo:
1.rostam kumiliki au kutomiliki dowans sio kosa kisheria wala kimaadili.anayo haki ya kufanya biashara na hata kuficha mali zake
2.dowans walitakiwa kuleta umeme hata kama kampuni haikusajiliwa kama ambavyo mnajaribu kudai humu ndani bado iliweza kutekeleza mkataba na kuzalisha umeme.
3.shida yetu ilikuwa ni umeme na mpaka sasa bado tunayo kwahiyo tuangalie je dowans hawakuweza kutatua na kufunga mashine kw ajili ya umeme?
4.dowans walikuwa tayari kupata hasara kwa kuuza kwa bei ya chini mitambo yao kwa serikali lakini mwak alisema watanzania wako tayari kukaa gizani kuliko kutumia mitambo ya dowans.......hahahahah ujinga kazi.
5.ni wangapi humu wanajua kuwa tanzania ina mikataba na makampuni kama aggreco,songas na iptl ya kuzalisha umeme.....na kati ya makampuni yote dowans ndio mkataba wanalipwa pesa kidogo kwa megawatts. Kama kweli tunauchungu na utanzania na sio rostam chuki binafsi kwa nini tunakubali kulipa megawatts za chini iptl kwa malipo ya million mianane kwa siku na kuacha megawatts nyingi zaidi kwa shilling million mia moja na tatu kwa siku eti kwa kuwa ni kampuni ya rostam. Hahahahaha
6.wangapi wanajua kuwa katika malipo yanayopaswa kulipwa kwa dowans, asilimia 47 ya malipo haya ni umeme aambao tanesco iliutumia na bado hawakulipa mpaka mkataba unavunjwa.
7.wangapi wanajua kuwa wakati tanesco ikinunua umeme kwa malipo ya shillingi milion 103 kwa siku yenyewe inatuuzia wananchi umeme huo huo kwa shillingi million mia sita kwa siku.
Humu tumejaa wivu tu kwa rostam na sio kweli tunataka kupambana na ufisadi na ndio maana hatulalamiki kulipa mafuta ya millioni mia sita kwa siku na kuacha umeme wa millioni 103 kwa siku......ujinga ni mzigo mkubwa kuliko unavyozania.

huu ni ukweli
 
Kauli ya gazeti la mwanahalisi la Jumatano tarehe 2 Feb 2011 toleo namba 227kuhusu sakata la Dowans limezidi kutoa taswira pana kuhusu wanaotaka kukwapua mabilioni ya walala hoi kwa kumtaja Rostam kuwa ndiye aliyeshitaki serikali na kudai hayo mabilioni (Zaidi ya Bil 94). Hayo yote yamechagizwa na nukuu za Dr Hariso Mwakyembe aliyenukuliwa akisema ndani ya mkutano wa wabunge wa CCM kuwa "mnahangaika nini?..aliyetufikisha hapa ni mtu mmoja tu; anaitwa Rostam Aziz"
 
Hivi wataz halisi wenye machungu na hii nchi ya babu zetu mna mpango gani na huyu fisadi jamani?
 
Kauli ya gazeti la mwanahalisi la Jumatano tarehe 2 Feb 2011 toleo namba 227kuhusu sakata la Dowans limezidi kutoa taswira pana kuhusu wanaotaka kukwapua mabilioni ya walala hoi kwa kumtaja Rostam kuwa ndiye aliyeshitaki serikali na kudai hayo mabilioni (Zaidi ya Bil 94). Hayo yote yamechagizwa na nukuu za Dr Hariso Mwakyembe aliyenukuliwa akisema ndani ya mkutano wa wabunge wa CCM kuwa "mnahangaika nini?..aliyetufikisha hapa ni mtu mmoja tu; anaitwa Rostam Aziz"
itafika kipindi watu tujitoe mhanga palee magogoni!
 
Hakuna kusubiri, kesho tuungane na udsm pale tuyaondoe maandamano pale chuo, tuyapeleke sehemu husika kama mnazi mmoja au magogoni getini.
 
Kauli ya gazeti la mwanahalisi la Jumatano tarehe 2 Feb 2011 toleo namba 227kuhusu sakata la Dowans limezidi kutoa taswira pana kuhusu wanaotaka kukwapua mabilioni ya walala hoi kwa kumtaja Rostam kuwa ndiye aliyeshitaki serikali na kudai hayo mabilioni (Zaidi ya Bil 94). Hayo yote yamechagizwa na nukuu za Dr Hariso Mwakyembe aliyenukuliwa akisema ndani ya mkutano wa wabunge wa CCM kuwa "mnahangaika nini?..aliyetufikisha hapa ni mtu mmoja tu; anaitwa Rostam Aziz"

Rostam,mm,he is so evil.
 
Yes Rostam is evil but I think we as Tanzanian are worse. If we know him and we dont do anything about him, we better stop writing about his issues. Lets stand up and fight for our nation. Lets do something about Rostam. Yupo anatucheka tu.
 
Rostam Aziz has the Power of Attorney to transact on behalf of Dowans. Please get the copy of the last weeks East African.

Apparently this issue is over. In the final analysis, after all being said and done, the government will make the payment to Dowans anyway. In Tanzania you can get away with anything as long as you have money and well connected.
 
Kauli ya gazeti la mwanahalisi la Jumatano tarehe 2 Feb 2011 toleo namba 227kuhusu sakata la Dowans limezidi kutoa taswira pana kuhusu wanaotaka kukwapua mabilioni ya walala hoi kwa kumtaja Rostam kuwa ndiye aliyeshitaki serikali na kudai hayo mabilioni (Zaidi ya Bil 94). Hayo yote yamechagizwa na nukuu za Dr Hariso Mwakyembe aliyenukuliwa akisema ndani ya mkutano wa wabunge wa CCM kuwa "mnahangaika nini?..aliyetufikisha hapa ni mtu mmoja tu; anaitwa Rostam Aziz"

Hela yake atapewa na tutaendelea kubweka kila siku kama mbwa koko. 2015 itafika tena ja wananchi wataipigia kura CCM. Hiyo ndio Tanzania. Hakuna jipya wala mapya!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom