Mwakyembe augua ghafla Bungeni

Ametutoka au hatunae wanaficha ,ila naona tumerudi paleplae kwenye mada niliyoianzisha kuwa kiongozi wa Serikali hasa wa ngazi za Uwaziri wao hawaumwi wala hawatakiwi kufa wakiwepo kwenye madaraka ila watazuka watu waseme jamaa tayari wameshugulikia

are you serious?
 
.......ukiwa Mbunge Na Kama Bahati Mbaya Ana Maradhi Unayojua Mwisho Wake Ni Kifo...ukienda Kwa Daktari Wako Akikushauri Kuwa Zile Nanii Zimeshuka Kiasi Mwezi Humalizi..usikubali Kufa Pole Pole...dawa Ni Kurudi Bungeni Na Kuchachafya Sana Hadi Wananchi Waanze Kukuita Shujaa....alafu Ukiona Vipi Ghafla ..unatengeneza Mazingira Ya Ku Faint Bungeni...unajua Definatelly Ukienda Hospitali Humalizi Wiki.....at Least Ufe Shujaa!!!!...kwa Nini Ufe Pole Pole ..wakati Kwa Wadanganyika Kuibuka Hero Kwa Kazi Ya Dakika Kumi..its Just Very Simple!!!!!
 
.......ukiwa Mbunge Na Kama Bahati Mbaya Ana Maradhi Unayojua Mwisho Wake Ni Kifo...ukienda Kwa Daktari Wako Akikushauri Kuwa Zile Nanii Zimeshuka Kiasi Mwezi Humalizi..usikubali Kufa Pole Pole...dawa Ni Kurudi Bungeni Na Kuchachafya Sana Hadi Wananchi Waanze Kukuita Shujaa....alafu Ukiona Vipi Ghafla ..unatengeneza Mazingira Ya Ku Faint Bungeni...unajua Definatelly Ukienda Hospitali Humalizi Wiki.....at Least Ufe Shujaa!!!!...kwa Nini Ufe Pole Pole ..wakati Kwa Wadanganyika Kuibuka Hero Kwa Kazi Ya Dakika Kumi..its Just Very Simple!!!!!

Are u serious?
 
.......ukiwa Mbunge Na Kama Bahati Mbaya Ana Maradhi Unayojua Mwisho Wake Ni Kifo...ukienda Kwa Daktari Wako Akikushauri Kuwa Zile Nanii Zimeshuka Kiasi Mwezi Humalizi..usikubali Kufa Pole Pole...dawa Ni Kurudi Bungeni Na Kuchachafya Sana Hadi Wananchi Waanze Kukuita Shujaa....alafu Ukiona Vipi Ghafla ..unatengeneza Mazingira Ya Ku Faint Bungeni...unajua Definatelly Ukienda Hospitali Humalizi Wiki.....at Least Ufe Shujaa!!!!...kwa Nini Ufe Pole Pole ..wakati Kwa Wadanganyika Kuibuka Hero Kwa Kazi Ya Dakika Kumi..its Just Very Simple!!!!!

Huyu Air Conditioner na miwaya yake?
 
.......ukiwa Mbunge Na Kama Bahati Mbaya Ana Maradhi Unayojua Mwisho Wake Ni Kifo...ukienda Kwa Daktari Wako Akikushauri Kuwa Zile Nanii Zimeshuka Kiasi Mwezi Humalizi..usikubali Kufa Pole Pole...dawa Ni Kurudi Bungeni Na Kuchachafya Sana Hadi Wananchi Waanze Kukuita Shujaa....alafu Ukiona Vipi Ghafla ..unatengeneza Mazingira Ya Ku Faint Bungeni...unajua Definatelly Ukienda Hospitali Humalizi Wiki.....at Least Ufe Shujaa!!!!...kwa Nini Ufe Pole Pole ..wakati Kwa Wadanganyika Kuibuka Hero Kwa Kazi Ya Dakika Kumi..its Just Very Simple!!!!!

Kama rahisi hivyo mbona wengine wanashindwa kuupata huo ushujaa wa dakika kumi?

Mtu akifa jema inabidi tuseme, kwenye RICHMOND Dr. Mwakyembe ni shujaa wetu.
 
Mbunge maarufu Dk Mwakyembe augua ghafla bungeni
Na Midraji Ibrahim, Dodoma

MBUNGE wa Kyela (CCM), Dk Harrison Mwakyembe ameugua ghafla akiwa bungeni na kukimbizwa hospitali.


Dk Mwakyembe ambaye aliongoza Kamati ya Bunge ya Kuchunguza Mchakato wa Ushindi wa Kuzalisha Umeme wa Dharura kwa Kampuni ya Richmond Development, aliingia bungeni jana akiwa na afya njema, lakini hali ilibadilika ghafla na kutaka kuanguka.


Aliingia bungeni majira ya saa 2:00 asubuhi akiwa na afya njema, lakini ilipotimu saa 3:30 asubuhi alianza kujisikia vibaya, huku akitaka kudondoka chini.


Hata hivyo, Mbunge wa Lupa(CCM), Victor Mwambalaswa alibaini hali hiyo na kumuondoa bungeni pole pole akiwa amemshikilia na kumtoa nje ya Ukumbi wa Bunge.


Baada ya kumfikisha nje, Mwambalaswa aliita gari la kubeba wagonjwa na kumkimbiza kwenye kliniki iliyopo majengo ya Bunge ambako alipata huduma ya kwanza, lakini baadaye alihamishiwa sehemu ambako haijulikani.


Jitihada za mwandishi wa habari hizi kutaka kumuona ndani ya klikini ziligonga mwamba, baada ya daktari aliyekuwa anamhudumia kukataa kumruhusu kwa kile alichoeleza kuwa amelala usingizi.


Hata hivyo, mwandishi baada ya kuchungulia dirishani alimshuhudia Dk Mwakyembe alikuwa usingizini, huku akiwa amewekewa drip.


Baada ya kuhamishwa kwenye kliniki hiyo, taarifa zilivuma kuwa alikuwa amechanganyikiwa na kukimbizwa Hospitali ya Mkoa, lakini Mwambalaswa alieleza Mwananchi kuwa, walikuwa wamemficha sehemu kwa ajili ya mapumziko.
 
Dr. anaendelea vizuri, atakutana tena kesho na madaktari kuangalia hali yake, lakini tangu asubuhi alikuwa nyumbani anapumzika. Anamshukuru kila mmoja ambaye amemtakia afueni na anasema anasubiri kuchukuliwa vipimo zaidi siku hizi zijazo na kufuata maagizo ya madaktari.
 
Kwani wewe fumbo ulimfumba nani na ulifumba nini?


Fumbo mfumbie mjinga, mwerevu atang'amua. Hivi watoto wa mjini watashindwa kujua Air Conditioner na miwaya ni nini in light of current and not so current events and martyrdom kama thread inavyotiririka?

Au mnataka kunipa mji kirahisi tu?
 
Fumbo mfumbie mjinga, mwerevu atang'amua. Hivi watoto wa mjini watashindwa kujua Air Conditioner na miwaya ni nini in light of current and not so current events and martyrdom kama thread inavyotiririka?

Au mnataka kunipa mji kirahisi tu?

Sasa mbona unajifanya kusema "yashakuwa hayo"?

Au hutaki kushtakiwa kama THISDAY, Mwakyembe akishabadili damu akapona?
 
Sasa mbona unajifanya kusema "yashakuwa hayo"?

Au hutaki kushtakiwa kama THISDAY, Mwakyembe akishabadili damu akapona?


Mie naonyesha kwamba sicho nilichomaanisha.

Wanishtaki wataniweza? Watanikamatia wapi nami ghostbot?
 
Hey!yamekuwa haya? makubwa basi!

Unajua mwakyembe kuumwa ghafla mie sishangai, na hata kama bahati mbaya yakitokea ya kutokea (which i hope, it doesnt happen) sitoshangaa vile vile, maana mbowe alishasema anajua kwamba ccm ndio inayoua watu na anajua how(kivipi ccm inavyoua hao watu) !Na nilitoa wito juu ya mbowe kuhojiwa kuhusiana na kauli yake aliyotoa ili iweze kumwaga mwanga zaidi, mkaniona chizi ! sasa hapa, jamani naombeni asije akanyanyua mtu mdomo maana watu walikuwa wakibisha, tena ningependa mkae kiiimya kama maji ya mtungini !Kwa kifupi sishangai chochote kilichotokea !!
 
Mwakyembe, akifa tu hawa inabidi wajiandae kwa sniper:

Lowasa:
Mwakapugi,
Karamagi
Mramba
Mkapa
Yona
Mzee wa Visenti
Losta Azizi,


Killing Strategies:
1)Tutanunua container moja la electronic goods from China, tutaunganisha mabomu, tutaweka kwenye gari/kuta za nyumba zao,
2) Tutaweka kwenye baiskeli egesha karibu na geti ripua kwa remote ukiona anaingia or
3) Tutachimbia chini karibu na gate zao, or barabara za kwenda kwenye nyumba zao,kama Iraq wanavyowafanya Wamarekani kwenye magari yao ya KIVITA harfu unatumia remote inayofanana na simu ya kiganja.
4) tutatuma kwa posta kama kifurushi kinatoka Ulaya akifungua tu ndo mwisho wake kama familia iko karibu yote inaondoka.
5)tutatumia biological virus na kutupa ndani ya nyumba zao kuteketeza watu wote yeye na familia,

6)tutaweka biological virus kwenye baasha na kutuma kwenye nyumba zao wakifungua tu familia nzima inateketea kama upupu.

7)Tutawatumia vitabu vyenye sumu akisoma na kulamba ulimi kwa kupekua ukurasa amekwisha:
8) tutanunua bunduki za silencer, tunaweka sniper umbali wa meter 500 au ofisini kwenye gali au nyumbani.
9) Tutawatumia zawadi za karamu, akiitumia hile harufu ya wino ambayo inakuwa na sumu ambayo inaharibu mapafu na hakuna cha mgangawala hospital hapo ni kifo tu.

-----------------------
 
Last edited by a moderator:
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom