hivyo ilovyowekwa hii thread unaweza kuanguka kbla hujaifungua.
mnatutisha namna hii
ni zitto !!!!
Taarifa Ni Kwamba Jana Baada Ya Bunge Kufungwa Jioni Mbunge Moja Aliomba Aingie Achukuwe Kitu Alichosahau Ndani. Camera Za Bunge Zilimnasa Ananyunyiza Dawa Kwenye Viti Vya Watu Na Moja Ya Viti Kilikuwa Ni Cha Mwakyembe. Mimi Sisemi Ndiyo Maana Kaanguka Lakini Mambo Hayo Huwezi Kuyapuuza.
Hiyo bajeti ilishaanza kusomwa,manaake mie hapa kampala na nimetua muda huu,najaribu kupata sehemu ambayo nitaona TBCNi kweli kuwa ameugua na kukimbizwa zahanati ila bado hajawa sawa hadi sasa .
Nimeweza kuonana naye 30 mints ago yuko poa kiasi ila anajaribu kuangalia hali yake inakwendaje ndipo aweze kujua hatua za kuchukua ama kwenda hosipitali kubwa ama laa .
Hakuna kuwa na hofu kwenye kutafuta haki .....wengi walikuwa tayari kufa ili haki iweze kupatikana naamini ataweza kupata unafuu na kuwepo siku ya hotuba ya waziri mkuu atakapotueleza serikali imechukua hatua gani dhidi ya wale wote wa Richmond.
In Dom stay tuned....
Dah!
watu tulijua tayari amekula chakula kibovu maana huko Dom pana historia yake kwa kunyonga wapigania haki za walalahoi walio sahaulika katika nchi hii,.
vooodoo jamani, na wabunge pia!!?? sitaki kuamini hadi atajwe huyo mchawi! kwikwikwi...
Amemaliza kusoma bajeti ila kuna haja ya kuisoma kwani ni madudu yale yale ya kuifanya bajeti kutegemea walevi kila siku kama main source ya mapato.