Mwafaka wa Umeya wa Arusha wapatikana

Sasa huo uchaguzi umefanyika lini? bado ni uvunywaji wa sheria na kanuni maana wanahitajika kuitisha full council na kufanya uchaguzi wa Meya baada ya idadi ya wajumbe wanaohitajika kufika. Hapo bado sheria imekiukwa!!
Mbowe na Pinda walikubaliana madiwa wakae wakubalie wanagawana je, ndipo leo madiwa walipo kutana na kufikia mwafaka huo...
 
kama ni kweli ni hatua moja mbele muhimu sana,, ni namna ya kupatikana muafaka gurudumu la mendeleo likasonga mbele.hamuwezi kuwa mnalumbana tu na habari ya umeya. nawapongeza cdm maana bila kukomaa ilishapokwa haki
 
Kila tatizo lazima wazungu waingilie kati kuogopa kupata Misaada. Hii imekuja baada ya Rais wa zamani wa Ujerumani Mr. Kohl kuja Tanzania na kufika Arusha kushuhudia mambo yalivyo, ni aibu tupu.
Na pia hoja iliyowakilishwa na Kambi ya upinzani kuishutumu serikali nayo imetia nguvu maana waziri mkuu anatakiwa ayatolee maelezo bungeni na aibu kwa nusu mwaka na kusababisha mauaji wa tu.
 
Ni bora kuliko kuendeleza uhasama na watu wakaendelea kufa. Wamefikiria maisha ya watu kwanza, kwa sababu wangeendelea kukomaa na uchaguzi, uchaguzi usingefanyika na matokeo yake ni fujo na mauaji tena. Hongera Mbowe kwa muafaka huu. Mr Speaker continue watching.
sasa nimeamini kuwa kila mara ccm wanacheza ngoma ya chadema ambayo inawatesa sana na hasa mzimu wa dr slaa, nadhani ndio kazi ya siasa hiyo si mchezo......... makamba analo na kauli zake za kutofanya muafaka wa pamoja, lowasa aliwaambia mapema kabla hawajamua kumvua gamba.
 
sasa nimeamini kuwa kila mara ccm wanacheza ngoma ya chadema ambayo inawatesa sana na hasa mzimu wa dr slaa, nadhani ndio kazi ya siasa hiyo si mchezo......... makamba analo na kauli zake za kutofanya muafaka wa pamoja, lowasa aliwaambia mapema kabla hawajamua kumvua gamba.
tena kabla hata damu haija mwangika...
 
samahani hii habari siiamini.. nadhani haina ukweli wowote kwa kutumia logic za kawaida. Je uchaguzi umefanyika lini? kama hakuna uchaguzi nani kafanya uteuzi? Je hivyo vyeo vilikuwa na watu, je waliokuwa wanazishikilia wametakiwa kujiudhuru?. samahani taarifa hii siiamini mpaka itolewe ufafanuzi.
 
samahani hii habari siiamini.. nadhani haina ukweli wowote kwa kutumia logic za kawaida. Je uchaguzi umefanyika lini? kama hakuna uchaguzi nani kafanya uteuzi? Je hivyo vyeo vilikuwa na watu, je waliokuwa wanazishikilia wametakiwa kujiudhuru?. samahani taarifa hii siiamini mpaka itolewe ufafanuzi.
soma kwenye thread...Uchaguzi umefanyika na Mallah akapata kura 22 kati ya 25 na kwenye kamati ya Uchumi na Elimu alie changuliwa mwezi wa 12 aliondolewa na kuchanguliwa John Bayo....
 
soma kwenye thread...Uchaguzi umefanyika na Mallah akapata kura 22 kati ya 25 na kwenye kamati ya Uchumi na Elimu alie changuliwa mwezi wa 12 aliondolewa na kuchanguliwa John Bayo....

Kamati ya uchumi na fedha ndio kamati nzuri katika halmashauri yoyote maana ndio inayosimamia mapato na matumizi ya halmashauri husika na hii kamati ilizua mtafaruku sana maana upande wa Chama tawala hawakutaka kuiachia maana ndio kamati yenye ulaji sana
Kwa hiyo tunaamini angalau kutakuw ana usimamizi mzuri wa mapato ya halmashauri haswa katika uendeshaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo na ukusanyaji wa mapato
 
kumbe ni busara tu kidogo ilikuwa inahitajika for the whole issue.
Lakini kwa ujinga wa binadamu ikatumika miguvu mingi hata kupoteza maisha ya watu.
Katuka hili kuna jambo tunapaswa kujifunza hapa kama taifa. Mazungumzo yenye dhamira safi hayakuwahi kushindwa toka mbingi na nchi zilipoumbwa.
MWANZO MZURI HUU, KITAKACHOFUATA HAPA NI KUANGALIA NAMNA YA KUWAFIKISHA WAUAJI KWENYA SHERIA NALO HILI LIFANYWE KWA DHAMIRA SAFI NA UTATUZI UTAFIKIWA BILA KUDHULUMU HAKI YA YEYOTE.
.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
kumbe ni busara tu kidogo ilikuwa inahitajika for the whole issue.
Lakini kwa ujinga wa binadamu ikatumika miguvu mingi hata kupoteza maisha ya watu.
Katuka hili kuna jambo tunapaswa kujifunza hapa kama taifa. Mazungumzo yenye dhamira safi hayakuwahi kushindwa toka mbingi na nchi zilipoumbwa.
MWANZO MZURI HUU, KITAKACHOFUATA HAPA NI KUANGALIA NAMNA YA KUWAFIKISHA WAUAJI KWENYA SHERIA NALO HILI LIFANYWE KWA DHAMIRA SAFI NA UTATUZI UTAFIKIWA BILA KUDHULUMU HAKI YA YEYOTE.
.

Kiby nakubaliana na wewe kwa hili
Busara kidogo sana ilipaswa kutumika kabla ya kutumia maguvu na vyombo vya dola kutuliza kile wao walichoona ni fujo
Ilipwaswa pande zote kukutana na kuelezana ni nini tatizo kabla ya kufikia kusema uchaguzi ushafanyika na meya ashapatikana hakuna mjadala
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Sasa huo uchaguzi umefanyika lini? bado ni uvunywaji wa sheria na kanuni maana wanahitajika kuitisha full council na kufanya uchaguzi wa Meya baada ya idadi ya wajumbe wanaohitajika kufika. Hapo bado sheria imekiukwa!!

uchaguzi huwezi rudiwa unless waende mahakamani kutengua, CDM HAWAWEZI KWENDA MAHAKAMANI KWANI NI KWELI WALISAINI KUWA WAMESHIRIKI KTK UCHAGUZI, hivyo imebidi wakubali yaishe.
 
Hatimae ule utata wa meya ulio sababisha watu watatu kupteza maisha umepatiwa ufumbuzi baada ya mazungumzo yaliyokuwa yakifanywa na Waziri mkuu na Freeman Mbowe, kufikia mwafaka kuwa madiwa wakae wakubaliane ndipo leo walipo kaa madiwa wakafikia wamfaka kama ifatavyo...

Meya Gaundence Lyimo CCM
Naibu Meya Mallah CDM alipata kura 22 kati ya 25...2 zilisema hapana na 1 iliharibika
Kamati ya Uchumi na Elimu Bayo CDM
Kamati ya Fedha Lyimo TLP

Mkuu nadhani TLP wana diwani mmoja Michael Kivuyo aliyepewa unaibu meya wakati mgogoro ndo unashika kasi, baadaye akajiengua.

Pili nina maswali mawili ya msin gi sana ningependa kujua waziri mkuu na Mbowe wamejadili na kukubaliana nini;

1. Ni hatua gani zitachukuliwa dhidi ya polisi waliouwa raia wasiokuwa na hatia? Je, serikali itafanya nini kwa ajili ya familia za waliouwawa tar.5 jan??

2. Je Mary chatanda bado ataendlea kuwa mjumbe halali wa halmashauri ya manispaa ya Arusha??

Nawasilisha.
 
aliyelidanganya bunge achukuliwe hatua kali za kisheria na wale waliouwa wasulubiwe.
Siyo hapa Tanzania tena kwa awamu hii...hata akidhibitika atasema kunawatu wana utamani uwazi mkuu..nikiyakumbuka maneno haya huwa nacheka sana nimeonewa sana nimedhalilishwa sana...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom