Mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam

Mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam

bugurun pakavu kabisa hamna tope japo mvua ipo ni vimajimaji vichache barabaran tu
Buguruni ndio sehemu pekee DSM kwenye waganga wengi wa kienyeji hivyo msitegemee baraka za kunyeshewa mvua
 
Mshana unaelekea Bagamoyo [emoji36][emoji36][emoji36][emoji36][emoji36][emoji624][emoji624]itakua kikazi
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]

nadhan ataweza kutujibu hapa kwenye huu uzi muda si mrefu
 
Habari zenu wakuu,

Tangu asubuhi mvua kubwa inaendelea kunyesha sehemu mbalimbali za Dar es Salaam.

Mvua kubwa hii imesababisha usumbufu, baadhi ya barabara hazipitiki kwa watembea kwa miguu na wenye magari.

Eneo la Mnazi mmoja kwenye barabara ya Bibi Titi, magari yamepaki sababu barabara hazipitiki baada ya maji kutuama barabarani.

Pia kufuatia hali hiyo maeneo ya Kariakoo baadhi ya biashara za watandika bidhaa pembezoni mwa barabara wamefunga biashara zao kufuatia mvua hii inayoendelea kunyesha.
Hata hivyo tulishaambiwa=>TAHADHARI: Mamlaka ya Hali ya Hewa yataadharisha uwepo wa mvua hatarishi

Naomba tuendelee kupeana updates ya madhara ya mvua hii, kama tujuavyo ni kawaida ya mvua ikianza kunyesha Dar es Salaam huambatana na kadhia mbalimbali.

Karibuni.
View attachment 438327 View attachment 438328 View attachment 438317 View attachment 438318
View attachment 438345
View attachment 438347
Hivi hili eneo la makutano ya Bibi Titi na Morogoro road serikali imeshindwa kabisa kufanyia kazi ili kuondoa hii adha ya mafuriko kila msimu wa mvua?
 
Nimeondoka usiku wa maneno kuelekea alfajiri nilikutana nayo kuanzia Kawe mpaka bagamoyo

Mkuu unatumia usafiri gani, wa anga au nchi kavu?
emoji1.png
emoji1.png
emoji1.png
 
sasa muanze kijichanga maana kagera imetufundisha kitu hatuchangi ng'ooo.. 😀😀😀😀
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Yaani hili jiji letu wafanye mpango hii miundo mbinu ya maji taka huku city centre ifanyiwe ukarabati , Haiwezekani mvua ya siku moja tu hali inakuwa tete namna hii.
 
Back
Top Bottom