alley omar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 277
- 37
zanzibar ipo ya kutosha lkn haijaleta madhara maji yte baharin
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115] Msata moja hiyoMshana unaelekea Bagamoyo [emoji36][emoji36][emoji36][emoji36][emoji36][emoji624][emoji624]itakua kikazi
Zanzibar sehemu gani mkuu?Zanzibar inaendelea kutandika muda huu
Zanzibar sehemu gani mkuu?
Uku Posta hapapitiki.
Maeneo ya udsm ndo balaa inamwaga maji si utani
mkuu.....ndo maajabu ya Dsm wakati mwingine! kama akili yako haina ushirikiano mzuri waweza dhani kuna harufu ya uchawi hv
Ila kumbukeni kuwa mvua hiyo haijaletwa na Serikali ya chama cha mapindduzi
Uzur wa UDSM huwa hakuna mafuriko ila miti kudondoka ndo shida kuu
Mbaya sana mdau, leo saa 11 kulikua na shida ya usafiri makumbusho utadhani ni saa 1 usikuKweli hali ilikua mbaya.
Mmetoka saa ngap????Sie kazini tumetoka mapema kisa athari ya hizo mvua
Dodoma ipi hiyo niko mjini dodoma, mbande , mpaka mpwapwa huku kukavu kabisaaa!!Hapa DODOMA mjini imeanza tangu jana hadi sasa haijakatika