Nipo campus mkuu sijui bibo kama ipo or laamkuu...unamaanisha main campus au pamoja na huku mabibo hostel?
Na huko miundombinu ya maji ilivyo mibovu sijui hali ikojeNipo campus mkuu sijui bibo kama ipo or laa
Yani tumekaa cafeteria mkuuNa huko miundombinu ya maji ilivyo mibovu sijui hali ikoje
Hii mvua sio kubwa ni ya kawaida tu Tatizo ni miundo mbinu yetu. Mitaro na chemba zote zimeziba.Habari zenu wakuu
Tangu asubuh mvua kubwa inaendelea kunyesha sehem mbalimbali za Dar es Salaam
Naomba tuendelee kupeana updates ya madhara ya mvua hii,kama tujuavyo ni kawaida ya mvua ikianza kunyesha Dsm huambatana na kadhia mbalimbali
Karibuni
Na kama kipindi kipo Yombo 4 ndo ushamiss hivo...dahYani tumekaa cafeteria mkuu
No way out upo sahihiNa kama kipindi kipo Yombo 4 ndo ushamiss hivo...dah