BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,345
Sipat picha folen la leo kuanzia jion watu wakitoka makazini..
DuuuKwa tegeta inanyesha ya kawaida, si kubwa ya kutisha bali ni virasharasha vya hapa na pale...
Duh shukran for info huez jua umenisaidiaje aise ..Nawapa taarifa watumiaji wa Nyerere road kuwa eneo kati ya Tazara na Vingunguti limejaa Maji na mifereji haionekani hivyo magari yanapita kwa taabu.
Nawatakia siku njema.
asante sana kwa taarifa mkuu....natumai waliopo maeneo hayo na wanaotaka kupitia eneo hilo kupitia huu uzi wamekusikia na utakuwa umewasaidia sanaNawapa taarifa watumiaji wa Nyerere road kuwa eneo kati ya Tazara na Vingunguti limejaa Maji na mifereji haionekani hivyo magari yanapita kwa taabu.
Nawatakia siku njema.
mkuu.. nadhani wadau wanaotafuta chumba wamekusikia! lbd ungetupiapo na kapicha ka eneo hilo ili ku-attract business flow[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Anaehitaji chumba cha kupanga Maeneo ya Majumba sita msimbazi Aje tufanye biashara
masaki jua kali sanayani hasa huku Bonde la Msimbazi maeneo ya Tabata Liwiti, Vingunguti Bondeni na Matumbi .....hali ishaanza kuwa tete
mkuu.. dahh hayo maeneo huwa si murua sana kiusafiri hasa nyakati za jion! sipati picha hii leo itakuwaje hukomorocco hapa imepiga ya kutosha.. itabidi leo nichomoke mapema tu baada ya lunch maana najua kutakuwa na nyororo sio la mchezo
Hapa kijitonyama hata haipunzik 😵 inapiga mda wote
zanzibar tangu wiki jana inatwanga tu yani leo ni muendelezoduhh[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
hadi Zanzibar kiongozi? asante sana kwa taarifa