Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,047
- 143,005
Vumbi lageuka kuwa tope[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu bado funzo lipo pale pale, maana ameamua inyeshe ambapo hawalimi, sasa sijui tutakula rami au hizi ghorofa?Watu wa mikoani vipi nyinyi huko leo kote Mungu kafurahi au?, maana kwa madhambi yetu nilijua mwaka huu anatufundisha lakini naona katuhurumia
Ofisi imejaa maji?Sie kazini tumetoka mapema kisa athari ya hizo mvua
Hatanganya mtu... tuchange halafu mpele kukarabati shule ya chama? AU mpeleke hazinani?Inyeshe tuu tena kubwa kama wik hivi ila isitoe mtu uhai bali iharibu miondo mbinu ili tuchangie.
Duh!Hivi wale wanaosema mvua inyeshe tuheshimiane wana maana gani?!
Msemo maarufu sana huo.Duh!
Kuna watu wanasema hivo?
Mkuu unamaanisha 'hatachanga' ??Hatanganya mtu... tuchange halafu mpele kukarabati shule ya chama? AU mpeleke hazinani?
Nadhani ni outlet ya kutolea machungu ya ugumu wa maisha tu....Msemo maarufu sana huo.
jiandae kufika nyumbani usiku
TYPO mkuu... NI HATACHANGAMkuu unamaanisha 'hatachanga' ??
tehe tehe tehe tehe kabisa, yani umechukuliwa na mafuriko ukajikuta mto msimbaziLin hii yaweza kuwa sababu TOSHA kutorudi nyumbani KABISAA kwa WAKWARE🙂 Sasa kama foleni haitembei unategemea nifikeje home????
ahaaaaaaha!!hawa wanatakuwa ndo wale wanotaka wenye passo na disposable cars wa paki maana barabara zitakuwa mito...Hivi wale wanaosema mvua inyeshe tuheshimiane wana maana gani?!