imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,454
Ili wakakutane na wenzao.sa hivi wabunge hawapo labda waingie pale CCM makao makuu
Ili wakakutane na wenzao.sa hivi wabunge hawapo labda waingie pale CCM makao makuu
Eti wanapambana na shisha...dah mbavu zangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu unasikia viongozi wa huu mkoa vipaumbele vyao ni kupambana na shisha, wakati mvua ikinyesha kidogo tu mji unafurika na shughuli kusimama.
Nina uhakika hata ukiwauliza viongozi wetu ni kiasi gani cha pesa hupotea kila mvua inaponyesha hawatukwa na majibu. Hawana hizo takwimu.
Wala Usijisumbue kuwashauri mods ujinga!Yani kitendo tu cha mvua kunyesha dar imeshakuwa breaking news!? Mods upuuzi mwingine msiruhusu upostiwe humu. Kwahiyo hata sisi huku kwetu Songwe mvua ikianza kunyesha tukimbilie kuanzisha threads humu? Aaaargghhh
Ahaaaa. Kwahiyo dar sahiv kuna mafuriko? Nambie wewe ulieelimikaWala Usijisumbue kuwashauri mods ujinga!
Kama hata kwa kielelezo cha picha huelewi basi una shida kubwa. Lengo kubwa la mleta mada sio mvua kunyesha bali yatokanayo na hiyo mvua. Elimika.
yote ni ma crocodile mkuuIli wakakutane na wenzao.