Mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam

Mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam

Majanga ya mvua katika baadhi ya vituo vya mabus ya mwendo kasi. Poor workmanship!!
 
Dar mupyaaaa he he he yàan leo mvua kidogo jiji limevunda.chemba zimefurika zinatiririsha kinyesi barabarani.hakuna hata pa kukanyaga.kunanuka haijawahi tokea.mm najiuliza mbona kodi tunakatwa kubwaaa sana kwenye kila kitu,kwani pesa inaenda wapi jamani.yaan jiji limejaa maji sehemu nyingine watt hawawezi tembea manake watasombwa na maji!
 
Jaman leo alhamisi msiwe na wasiwas haitanyesha leo jua kali ..ila asubuh sio mbaya ukatinga kasweta kwa ajil ya barid kwa wale wanaoamka mapema sana kwenda kujenga taifa ..
 
20161123_114356.jpg
 
Halafu unasikia viongozi wa huu mkoa vipaumbele vyao ni kupambana na shisha, wakati mvua ikinyesha kidogo tu mji unafurika na shughuli kusimama.

Nina uhakika hata ukiwauliza viongozi wetu ni kiasi gani cha pesa hupotea kila mvua inaponyesha hawatukwa na majibu. Hawana hizo takwimu.
 
Back
Top Bottom