Mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam

Mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam

Bora leo niliamua kukaa ndani, shukurani kwa internet shughuli zinaendelea kwa kufuatilia mambo.
 
Biashara ya miamvul,mahindi na gesti Leo zitapata wateja sana.ombi langu Mlio katika maeneo korofi kama hali ikiwa hivyo jisogezeni katika mashule kwa u salama zaidi
 
Buguruni moja
1479893728343.jpg
 
Mvua itakua kubwa kuanzia tena saa 9 mchana..na itaisha saa 3 usiku. Kesho jua litakuepo kali na mvua haitakuepo.
Source: online weather forecasting ambayo inakua updated kila baada ya dakika 1.
Itaanza saa 9 hadi saa 12...from there patakua no rain labda vimanyunyu vidogo sana so itaenda kupungua hadi saa 3 usiku ikatike kabisa
 
Naomba wana DAR ES SALAAM muwe wavumilivu bado tunaendelea na ziara kubaini KERO za WANAINSHU.

KERO bado hazifahamiki na mvua haijaletwa na serikali.
 
Dar bwana, kamvua kakinyesha kidogo tu kumefurika. Sasa ikinyesha kama huku kwetu BK si mtahitaji Mitumbwi.
 
Back
Top Bottom