Wadau nawasabahi.

Naomba nije kwenye Mada yangu.

Watanzania MZANZIBAR kutoka Zanzibar yupo HURU kugombea na Tumeshuhudia Mzee MWINYI Mzanzibar akiwa Rais wa Tanzania vile vile na RAIS SAMIA ambaye pia ni Mzanzibar Hapo inaonyesha URAIS wa TANZANIA ni wa MUUNGANO.

URAIS wa ZANZIBAR ni wa WAZANZIBAR TU hakuna MTANGANYIKA aliyewahi kugombea au kuwa RAIS.Ili MUUNGANO uwe sawa ni Vema na TANGANYIKA ikawepo ili URAIS wa TANGANYIKA ugombewe na Mtanganyika tu kama ilivyo ZANZIBAR na kwa kuwa TANGANYIKA na ZANZIBAR ziliungana na Kuzaa TANZANIA basi URAIS wa TANZANIA ugombewe na Mgombea kutoka Tanganyika au Zanzibar ili kuonyesha MUUNGANO wa Tanganyika na Zanzibar.
 
Wadau nawasabahi.Poleni na Misiba ya VIONGOZI wetu Wawili Hayati Rais Mstaafu Mzee Mwinyi na Rais wa Mioyo ya Watanzania Hayati Edward Lowassa.
Nimekuwa naufuatilia sana Muundo wa Muungano uliozaa Nchi ya TANZANIA uliofanywa na Viongozi wa Nchi ya Tanganyika Hayati NYERERE na Rais wa Zanzibar Hayati KARUME mwaka 1964.Mara baada ya Muungano huo NCHI ya Zanzibar ikaendelea kuwepo lakini Nchi ya Tanganyika sijui ilienda wapi.
Kwa yeyeto anayejua ilipo NCHI yetu TULIYOPEWA na MUNGU NCHI iliyojazwa RASLIMALI za kila aina ilipo NAOMBA Atujuze japo kwa Maneno Machache.
 
Tundu Lissu aliwahi kusema ya kwamba Lowassa ni fisadi. Wakati Lowassa anaenda CHADEMA 2015 akaikana kauli yake eti ya kwamba hakusema. Hapo ndio nikajua kumbe watu wanapigania matumbo yao tu katika hizi siasa.

Mkuu, I'll never vote a ballot mpaka siku ninakufa. Na hii nimeapa. Mungu amewezesha nizaliwe katika bara la hovyo sana.
TUAMBIE NA CCM WALIVYOMSEMA NA WALIPOULIZWA WALISEMAJE?
 
Wadau nawasabahi.Poleni na Misiba ya VIONGOZI wetu Wawili Hayati Rais Mstaafu Mzee Mwinyi na Rais wa Mioyo ya Watanzania Hayati Edward Lowassa.
Nimekuwa naufuatilia sana Muundo wa Muungano uliozaa Nchi ya TANZANIA uliofanywa na Viongozi wa Nchi ya Tanganyika Hayati NYERERE na Rais wa Zanzibar Hayati KARUME mwaka 1964.Mara baada ya Muungano huo NCHI ya Zanzibar ikaendelea kuwepo lakini Nchi ya Tanganyika sijui ilienda wapi.
Kwa yeyeto anayejua ilipo NCHI yetu TULIYOPEWA na MUNGU NCHI iliyojazwa RASLIMALI za kila aina ilipo NAOMBA Atujuze japo kwa Maneno Machache.
Ipo hata katiba ya 1977 (152) kama sikosei inasema '' Tanzania bara ni iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika kabla ya Muungano''. Kwasababu Tanganyika ndiyo inayobeba muungano lakini pia kwavile kuna utegemezi wa Zanzibar, hata Rais SSH aanayekubalika na ACT na muumini wa Maalim hataki tena kuitaja.

Akiitaja Tanganyika itamuondolea fursa ya kutumia rasilimali za Tanganyika. Msikilize DEC 9 2023 alitaja Tanganyika mara moja kwa aibu sana. Anafahamu wazi yeye ni Rais wa Tanganyika , kutaja hivyo kutaondoa fursa kwa Wazanzibar ku abuse muungano. Uwepo wa Tanganyika utaiwajibisha Zanzibar jambo wasilotaka.

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Ukidumu katika video inayosambaa utagundua hasira ya wazsnzibar vs wabara kuna chuki inayofichwa.

Ninkama moshi unaofula chini kwa chini. Moto utakuja kuzagaa chini na ukafika kwa wananchi.

Kuwe na serikali 3 tu mambo yaishe
 
Hata serikali 3 siyo muhimu. Tuuvunje kila mtu apambane kivyake.
Tutawaua wazenji mkuu kua na huruma hata chembe.

Umeme kwetu, mapato yetu, ajira kibao wanazo huku kwetu, huku kwetu wana ardhi, huku kwetu wana hadi nyadhfa seikalini, huku kwetu wanafanya biashara bila bugdha(wapemba).
 
Yaani kuna watu mmevurugwa na video ile, kma nini sijui. Sasa fimbo na muungano wapi na wapi?
Mbona mmbo ya kawaida tu yale. Hata kkoo kuna siku waislqmu walimchapa mtu kala hadharani nyuma huko.
 
Muungano upi tena? Unazungumzia video ya miaka 6 nyuma , watanzania ngoja mechi ya leo iishe ndio nyzi za siku mbili mbele kwami Report ya CAG imetoka jana ila ishapoa kuna ya mwaka jana ishapita hiyo😁😁.

Video ya miaka 6 , wakati imechomekewa hapo Nyerere alikumbatia zenji kwa maelezo ya Uingereza sio yeye ,sababu ya usalama ila zenji hawataki .

Hata CHADEMA wakipew nchi watalinda muungano .
 
Kuna siku huu muungano utavunjika tu na sababu kubwa ni utofauti wa uelewa na akili kati ya wananchi wa pande hizi mbili.
Hiyo siku ikifika nini itakuwa hatima ya Wazanzibar walioko bara na mali zao zisizohamishika kama nyumba, je atapewa nani wakati wa kufungasha vilago?
Watu wa bara watakuwa hawana shida maana hawamiliki ardhi Zanzibar.
 
Back
Top Bottom