Nataka nikukumbushe kuwa ndoa ya kanisani hususani roma haivunjiki mpaka kifo kiwatenganishe,sasa tujue ndoa yako ni ya imani gani,
lakini pia mpk umefunga bado unasema hapo ni kwako na sio kwa wewe na mmeo na wewe basi ulishaanza siku nyingi kujiweka superior hata kabla ya ndoa,kama ndoa yako inaweza kuvunjwa tafadhali ivunje na uanze maisha mapya bila kuuliza mdogo wako ataishije,kama ndoa yako ni ya kanisani,nenda Kanisani fikisha hilo na uombe radhi kuwa ndoa itakuwepo(haitavujika) lakini utashika hamsini zako!!!Na pete uivue kabisa ifungie kabatini,uanze maisha mapya ambayo yatakufanya usiolewe mpaka mmeo afe,na uwe unahusiano nje ya ndoa!!lakini kubwa lingine na mgawanyo wa mali,kama ndoa inavunjika mahakamani ask for divorce ili kila kitu kigawanywe equally,kama haivujiki ndoa tumia busara na ujasiri mgawane half ya kila kitu!!!as hauna mtoto kuanza maisha mapya ya kwako kwako ni rahisi kidogo!La mwisho mrudie Mungu maana from hapo hata masomo yako unaweza usifannye viziuri,iwe ni kusali saaana na Kusoma tuu!!!
POLE KWA UNAYOPITIA