Oxpower
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 2,181
- 3,115
Dah mimi nmewaza sana . kiukweli mimi sijaoa lakin nayajua kiasi mambo ya ndoani maana naishi ndan ya jamii
Hapo ni pagumu sana, ukimuachia mume maumivu hayataisha kamwe,na utawachukia wote .
Ukisema uvumilie nae hapo ndo balaa mara mbil, watakucheat tena, mtoto atahitaji matunzo ya baba na mama maana hakuna raha dunian kama ya kuwa na baba. Ko uwepo wa mtoto utawalazimisha wawe karibu. Kwa hili dada sikushauri
USHAURI WANGU HIYO MIMBA TOENI , NI ZAMBI LAKIN APO AMNA NAMNA
Hapo ni pagumu sana, ukimuachia mume maumivu hayataisha kamwe,na utawachukia wote .
Ukisema uvumilie nae hapo ndo balaa mara mbil, watakucheat tena, mtoto atahitaji matunzo ya baba na mama maana hakuna raha dunian kama ya kuwa na baba. Ko uwepo wa mtoto utawalazimisha wawe karibu. Kwa hili dada sikushauri
USHAURI WANGU HIYO MIMBA TOENI , NI ZAMBI LAKIN APO AMNA NAMNA