MABATI YA SUNBAK TANZANIA
JF-Expert Member
- Jan 10, 2025
- 216
- 576
Mtu kama Liberata Mulamula ambaye amekuzidi kila kitu kuanzia Elimu ,umri , uzoefu na Exposure , halafu utegemee aje kukusifu kama Chawa haiwezekani .
Utalalamika Sana na nakuona upo katika Panic Mode .
MTU unajua kabisa ametumia zaidi ya nusu ya maisha yake kufanya siasa za kutumia akili na ni-mwanadiplomasia wa kimataifa , eti Leo hii unamleta Tanzania akae na Chawa awe anasifu na kuabudu , hiyo haiwezekani.
Utalalamika Sana safari hii Ila huo ndo ukweli.
Utalalamika Sana na nakuona upo katika Panic Mode .
MTU unajua kabisa ametumia zaidi ya nusu ya maisha yake kufanya siasa za kutumia akili na ni-mwanadiplomasia wa kimataifa , eti Leo hii unamleta Tanzania akae na Chawa awe anasifu na kuabudu , hiyo haiwezekani.
Utalalamika Sana safari hii Ila huo ndo ukweli.